Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,327
- 8,243
"Leaders are elected through the ballot by the voters and not by those who count the votes" Hakainde Chichilema President of Zambia.
Very important.
Very important.
😂😂😂😂😂😂😂Subiri uchaguzi ujao. Weka huu uzi vizuri. Asicheze na Zambia!!!!!!
Mara hii tu kaanza kuwatesa wapinzani wake, yale yale ambayo hakutaka kufanyiwa naye anayafanya dhidi ya hasimu/wapinzani wake.Huyu ndiyo Mzalendo sasa. Ameshinda kihalali. Hakutumia 'policcm', wala 'tumeccm'!
Weka vivid evidence. Eti kutoka raia mpaka Lt Kanali!!Mara hii tu kaanza kuwatesa wapinzani wake, yale yale ambayo hakutaka kufanyiwa naye anayafanya dhidi ya hasimu/wapinzani wake.
Mbaya zaidi anatoa mpaka vyeo na madaraka kwa uswahiba si kwa merits, maana kuna kijana kutoka kuwa raia hadi kuwa Lt Col waJeshi.
Hebu tuwekane sawa mkuu, yeye anasema kiongozi anachaguliwa na wananchi na siyo wanao hesabu kura.Subiri uchaguzi ujao. Weka huu uzi vizuri. Asicheze na Zambia!!!!!!
Njaa tupu.
Kama hujui nyamaza! Nakupa miezi 6 tu, utaniambia. Hii inaitwa leadership honeymoonHuyu ndiyo Mzalendo sasa. Ameshinda kihalali. Hakutumia 'policcm', wala 'tumeccm'!
Nilitaka kukueleza kuwa next election atatumia Zambia polisiccm tu! Atasutwa nayeHebu tuwekane sawa mkuu, yeye anasema kiongozi anachaguliwa na wananchi na siyo wanao hesabu kura.
Hakusema as you wrote, kwa lugha nyingine hiyo ni risasi kwenye kundi la vibaka, anawakumbusha viongozi wenzake wa kisiasa wa kiafrika, iwe ataondolewa au ataendelea that's awesome message.
Uchaguzi wowote unakuwa huru na haki ikiwa chama tawala kikishindwa.Hebu tuwekane sawa mkuu, yeye anasema kiongozi anachaguliwa na wananchi na siyo wanao hesabu kura.
Hakusema as you wrote, kwa lugha nyingine hiyo ni risasi kwenye kundi la vibaka, anawakumbusha viongozi wenzake wa kisiasa wa kiafrika, iwe ataondolewa au ataendelea that's awesome message.
Acha uwongo. Mpaka sasa, amemtesa nani? Bodyguard ni lazima awe mtu ambaye anaaminika na anayelindwa. Kumteua personal bodyguard wake kuna ubaya gani?Mara hii tu kaanza kuwatesa wapinzani wake, yale yale ambayo hakutaka kufanyiwa naye anayafanya dhidi ya hasimu/wapinzani wake.
Mbaya zaidi anatoa mpaka vyeo na madaraka kwa uswahiba si kwa merits, maana kuna kijana kutoka kuwa raia hadi kuwa Lt Col waJeshi.
Usiusemee moyo! Huyu HH hakuupata urais kwa zali la mentali kama huyu wa kwetu! Hivyo hana sababu ya kupelekeshwa na chama, dola au wenye chama chao!Kama hujui nyamaza! Nakupa miezi 6 tu, utaniambia. Hii inaitwa leadership honeymoon
Unajua expectations za wazambia wewe? Acha ngonjeraUsiusemee moyo! Huyu HH hakuupata urais kwa zali la mentali kama huyu wa kwetu! Hivyo hana sababu ya kupelekeshwa na chama, dola au wenye chama chao!
Alipambana kwa lengo la kuwakomboa Wazambia wenzake kutoka kwa viongozi walafi. Yeye si mchumia tumbo kama ilivyokua kwa watangulizi wake. Alishafanikiwa kibiashara.
Binafsi namtakia mafanikio mema katika utumishi wake. Na Mwenyezi Mungu amsimaie ili asije kukengeuka kama hawa wa kwetu. Ameanza vizuri, na amalize hivi hivi ili na wale watawala wasio jitambua na madikteta kutoka nchi za kusadikika, wapate cha kujifunza.
BogusUnajua expectations za wazambia wewe? Acha ngonjera