hiyo reflection ni zaidi ya rainbow...unaweza kimbia ukajua jinni linakufata kumbe mtu......mimi mwenyewe saa ingine nikijiangalia kwenye kioo nataka nikimbie. Natisha ati. MankaM
Jamani kuna kabinti kameniloga sijui...kwa kweli sijui nini kimenikuta. kananigombeza hako....akinipigia simu nakimbia kama vile kuna bomu limerushwa ili tu asisikie kelele za sehemu niliyopo. Yaani nimejikuta tu namuogopa.Sijawai kwenda kwenye birthday lakini huwezi amini mpaka sasa ndani ya mwezi mmoja na nusu nshauzuria kama sio sita basi saba, zote za mashost zake na nikienda nae navalishwa kimodo......mwenyewe benteke shati la zambarau suruali nyekundu na viatu vya njano au shati la rangi ya udhurungi kamtura rangi maji bahari na makobasi meusi na soksi nyeupe...hah,sina hamu.
tinna cute unamanenooo. yaani imenichukua mda kutengua hiyo sentesi.
Miss u badly aisee... mambo yako vipi aisee.
Ntakushtua tu.
hahaha..sema nikutumie kabisa. Kwani ukimtamani mtu unampiga picha au unampa...
Usijali....alafu ukishapiga unaiweka wapi sasa.
Jamani kuna kabinti kameniloga sijui...kwa kweli sijui nini kimenikuta. kananigombeza hako....akinipigia simu nakimbia kama vile kuna bomu limerushwa ili tu asisikie kelele za sehemu niliyopo. Yaani nimejikuta tu namuogopa.Sijawai kwenda kwenye birthday lakini huwezi amini mpaka sasa ndani ya mwezi mmoja na nusu nshauzuria kama sio sita basi saba, zote za mashost zake na nikienda nae navalishwa kimodo......mwenyewe benteke shati la zambarau suruali nyekundu na viatu vya njano au shati la rangi ya udhurungi kamtura rangi maji bahari na makobasi meusi na soksi nyeupe...hah,sina hamu.
Sijamaanisha kama natu.kana hapo ulipo bold, kimtazamo wangu nilivyosoma thread yake limbukeni ni kwamba kanogewa saaaana na haka katoto. Yawezekana labda thread hii ni muendelezo wa nyingine, hapo kweli kwangu mimi ni usiku wa giza.