BabaTina
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 429
- 574
Kuna kabinti hapa mtaa wa jirani, ukikaangalia kwa umri kanaelekea kuwa na umri kati ya miaka15-17 hvi.. kametokea kunizoe sana, ila kituko kalichotoa leo ni babu kubwa aisee.
Mtu mzima nimetoka home kwenda kununua vocha mida ya saa2 usiku hivi nkakutana nacho kwenye kijinjia cha giza baada ya salamu kikadai kinakwenda nnapoelekea..baada ya hatua kadhaa kilipoona tumefika kwenye kiza kikaushika mkono wangu wa kuume na kuuweka kiunoni pake..mwanzo sikuamini lakini ndo nikajua yashatokea hivyo..nilipotaka kuutoa mkono wangu kidada kikaung'ang'ania, nikaona duh yashakuwa mambo..sasa katika harakati za kutaka kujinasua si nikajikuta nimeshika lundo la cheni kiunoni kwake, kwanza sikuamini kabisa jinsi vile kile kitoto kilivyo na huo mrundo wa shanga kiunoni...mzee mzima nikatumia nguvu kujinasua afu nikapiga hatua za fasta na kukiacha kimeduwa...lakini bado najiuliza sana..ni kweli kale ni katoto ama mkubwa mwenzangu!?
Mtu mzima nimetoka home kwenda kununua vocha mida ya saa2 usiku hivi nkakutana nacho kwenye kijinjia cha giza baada ya salamu kikadai kinakwenda nnapoelekea..baada ya hatua kadhaa kilipoona tumefika kwenye kiza kikaushika mkono wangu wa kuume na kuuweka kiunoni pake..mwanzo sikuamini lakini ndo nikajua yashatokea hivyo..nilipotaka kuutoa mkono wangu kidada kikaung'ang'ania, nikaona duh yashakuwa mambo..sasa katika harakati za kutaka kujinasua si nikajikuta nimeshika lundo la cheni kiunoni kwake, kwanza sikuamini kabisa jinsi vile kile kitoto kilivyo na huo mrundo wa shanga kiunoni...mzee mzima nikatumia nguvu kujinasua afu nikapiga hatua za fasta na kukiacha kimeduwa...lakini bado najiuliza sana..ni kweli kale ni katoto ama mkubwa mwenzangu!?