GE2025 Hajj Manara achukua fomu ya Udiwani kata ya Kariakoo

GE2025 Hajj Manara achukua fomu ya Udiwani kata ya Kariakoo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mwanahabari na aliyekuwa Msemaji wa zamani wa vilabu vya Simba na Yanga, Haji Manara, amechukua Fomu ya kuwania Udiwani katika Kata ya Kariakoo, Jimbo la Ilala kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Zoezi la uchukuaji fomu katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) linaendelea nchi nzima, ambapo watia nia mbalimbali wameendelea kujitokeza kwa ajili ya kuchukua fomu za Ubunge na Udiwani.
1151702791.jpg
 
Mwanahabari na aliyekuwa Msemaji wa zamani wa vilabu vya Simba na Yanga, Haji Manara, amechukua Fomu ya kuwania Udiwani katika Kata ya Kariakoo, Jimbo la Ilala kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Zoezi la uchukuaji fomu katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) linaendelea nchi nzima, ambapo watia nia mbalimbali wameendelea kujitokeza kwa ajili ya kuchukua fomu za Ubunge na Udiwani.
 
Good idea, nice move, all the best 💪💪
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom