GE2025 Haji Manara: Tuombee Mvua isinyeshe Oktoba 29, 2025 wasipate sababu, tukamchague Rais Samia

GE2025 Haji Manara: Tuombee Mvua isinyeshe Oktoba 29, 2025 wasipate sababu, tukamchague Rais Samia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mgombea Udiwani wa Kata ya Kariakoo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Haji Sunday Manara, ametoa wito kwa wanachama na wafuasi wa chama hicho kuombea mvua isinyeshe tarehe 29 Oktoba, 2025 siku ya Uchaguzi Mkuu nchini ili kuhakikisha kila Mtanzania anashiriki kikamilifu katika zoezi la kupiga kura bila kisingizio.

Manara alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Kata ya Mbagala, ambapo alimuunga mkono mgombea udiwani wa CCM katika kata hiyo, Pazzi Abdulkarim Hamisi.

 
Kisingizio ni reforms tuu, na hiki sio kisingizio tuu bali inahitajika reforms ili kuwe na usawa.
 
Back
Top Bottom