johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,147
Aliyekuwa Katibu wa Uenezi CCM jijini DSM Komredi Haji Manara amesema yeye ni mtu makini, anayeheshimika na jamii na mwenye utu
Manara amesema " Haji wa Social media na Haji Real ni Watu Wawili tofauti" na kama kuna mtu anabisha basi akawaulize Rafiki zake na Watu wake wa Karibu
Haji Manara amesema yeye haishi yale maisha ya mitandaoni bali ile ni Kazi kama Kazi nyingine
Source: Clouds TV
Manara amesema " Haji wa Social media na Haji Real ni Watu Wawili tofauti" na kama kuna mtu anabisha basi akawaulize Rafiki zake na Watu wake wa Karibu
Haji Manara amesema yeye haishi yale maisha ya mitandaoni bali ile ni Kazi kama Kazi nyingine
Source: Clouds TV