1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 452
- 1,794
Akiwa kwenye tamasha la Wasafi jana pale Arusha, Haji Manara ameahidi siku si nyingi ataita Press kwa ajili ya kuwaaga watu wa mpira.
Amekaririwa akiongea laivu kuwa mpira umemtengezea sana uadui, hajui amewakosea nini washabiki wa mpira, anahofia usalama wa familia yake, anasema mpira uko damuni mwake lkn umevamiwa, anajua kuuelezea, kuuchambua, kuuandika, kuucheza na hata kuufundisha lkn kwa tathmini aliyoifanya anaona bora aendelee na maisha mengine.
Amesema ana kazi nyingi za kufanya za kumuingizia kipato ikiwemo Manara TV na kwamba mpira haujampa manufaa yoyote maishani mwake.
Amesema haitaji ukuu wa wilaya wala ukuu wa mkoa wala uwaziri kwa sababu hana uwezo wa kuhamasisha mifugo wala nn, ila in few next days ataitisha Press kuachana kabisa na mambo ya mpira.
Hamtanisikia tena kuongelea mambo ya Simba wala Yanga, nikiacha nimeacha kabisa, si mnanijua, ni kama ninapoachaga mke sirudii tena.
In my point of view, ukiona amefikia hapo jua huko aliko sasa ameshatibuana nao.
Amekaririwa akiongea laivu kuwa mpira umemtengezea sana uadui, hajui amewakosea nini washabiki wa mpira, anahofia usalama wa familia yake, anasema mpira uko damuni mwake lkn umevamiwa, anajua kuuelezea, kuuchambua, kuuandika, kuucheza na hata kuufundisha lkn kwa tathmini aliyoifanya anaona bora aendelee na maisha mengine.
Amesema ana kazi nyingi za kufanya za kumuingizia kipato ikiwemo Manara TV na kwamba mpira haujampa manufaa yoyote maishani mwake.
Amesema haitaji ukuu wa wilaya wala ukuu wa mkoa wala uwaziri kwa sababu hana uwezo wa kuhamasisha mifugo wala nn, ila in few next days ataitisha Press kuachana kabisa na mambo ya mpira.
Hamtanisikia tena kuongelea mambo ya Simba wala Yanga, nikiacha nimeacha kabisa, si mnanijua, ni kama ninapoachaga mke sirudii tena.
In my point of view, ukiona amefikia hapo jua huko aliko sasa ameshatibuana nao.