ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 13,827
- 27,257
Wapo nusu fainali CAF wewe kesho unacheza na pambahawa ndio wenzetu, tupo nao kwenye 12 bora. naona hata mechi ya simba na yanga inakosa mvuto kuliko ile ya simba na pirates
Wapo nusu fainali CAF wewe kesho unacheza na pambahawa ndio wenzetu, tupo nao kwenye 12 bora. naona hata mechi ya simba na yanga inakosa mvuto kuliko ile ya simba na pirates
wekeni kikosi B yaishe,hawa ndio wenzetu, tupo nao kwenye 12 bora. naona hata mechi ya simba na yanga inakosa mvuto kuliko ile ya simba na pirates
Baada ya kupasuka southMechi ya Simba na yanga Aina mvuto
mmechukua kombe lipi?Lazima alazimishe iwe mechi kubwa kwasababu wana Utopolo wote wanaamini na wanajua Simba ni timu kubwa, timu inayolitambulisha taifa la Tanzania ulimwenguni, wanajua Simba ndio timu kubwa kwao kwakuwa Simba imecheza na mataifa hatarishi ktk tasnia ya soka barani Afrika. Mleta uzi hii ni mechi kubwa mno kwa Utopolo kama hukua unajua.
Kolo linajifarijiSisi na 20 Bora ya Afrika.kama aupo 20 Bora huwezi kuwa mshindani wetu
Mkuu 0.5 FC ( The return of champions) Ulishindwa Kufa wewe kwa kugongwa nyuma na mbele na Rivers utd kitimu cha mchongo , simba ndo wafe kwa kihoro cha kufungwa na orlando tena kwa mikwaju ya penalty tena hatua ya robofainali?Unateseka na harakati za Yanga plus kufungwa na Orlando utakufa Sasa hv.
Yanga wanatafuta morali kutoka kwa Mashabiki ili wawapasue hapohapo kwenye mshono.
April 30 lazima mkalie tena.. kama unabisha Leta kolo wako hyo siku uone kazi
Huwa sipendi kuamini maneno kwamba kuna mashabiki Wana ufinyu wa mawazo. Lakini Leo nimeamini si tu ufinyu wa mawazo Bali hata mawazo yenyewe hawana. REAL MADRRID amechukua ubingwa wa UEFA mara nyingi kuliko timu yoyote Ulaya, ni lini umemsikia shabiki wa Real akidharau El Clasico? Utakuwa ni shabiki mpuuzi kusema Mechi ya Derby ya nchi yoyote ni Mechi ndogo.Simba na mashabiki wa Simba washatoka kwenye kupiga kelele na Yanga na Simba kuona wapinzani wao kama Al ahaly, Kaizer, pirates etc.
Haji manara analazimisha kuwachokaza simba, eti anasema morali ya simba imeshuka wanaweza kususa kuja uwanjani. Kwa kifupi hii wiki watu wanaongelea mechi ya simba na pirates
Ila hatujamfikia utoBaada ya kupasuka south
Jifariji na wewe Kama rahisiKolo linajifariji
Nasma utopolo hasira tunazimalizia kwenuKolo linajifariji
Kwani ndo mara ya kwanza, utatolewa kila ukishiriki maana huna uwezohahaha simba washatoka huku. hata mkitufunga haina shida. sisi bado tuna machungu kutolewa CAF.
Msimu ujao Simba lazima icheze champions league africa na hao hao wakina ahly ndo utajua hujuisasa bila kuchukua ubingwa wa nyumbani, huko kwa al ahly utachezaje nae?
Naniiiii achana kabisa na Dabi yaani Simba na Yanga hata kama siku wa kigombania kuku jua kabisa hiyo mechi kubwa, hivi ushajiuliza kipindi kile Dalali na Kaduguda kitu kilicho kuwa kinawafanya wabaki madarakani ni kuifunga Yanga pamoja na Yanga kuchukua ubingwa mara 3 mfululizo.Simba na mashabiki wa Simba washatoka kwenye kupiga kelele na Yanga na Simba kuona wapinzani wao kama Al ahaly, Kaizer, pirates etc.
Haji manara analazimisha kuwachokaza simba, eti anasema morali ya simba imeshuka wanaweza kususa kuja uwanjani. Kwa kifupi hii wiki watu wanaongelea mechi ya simba na pirates
Washa jua kitakacho wapata hizo ni mbinu za kujihamiHuwa sipendi kuamini maneno kwamba kuna mashabiki Wana ufinyu wa mawazo. Lakini Leo nimeamini si tu ufinyu wa mawazo Bali hata mawazo yenyewe hawana. REAL MADRRID amechukua ubingwa wa UEFA mara nyingi kuliko timu yoyote Ulaya, ni lini umemsikia shabiki wa Real akidharau El Clasico? Utakuwa ni shabiki mpuuzi kusema Mechi ya Derby ya nchi yoyote ni Mechi ndogo.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Pirates uliwaona walikuja wangapi kwenye mechi yenu?hawa ndio wenzetu, tupo nao kwenye 12 bora. naona hata mechi ya simba na yanga inakosa mvuto kuliko ile ya simba na pirates