Simba na mashabiki wa Simba washatoka kwenye kupiga kelele na Yanga na Simba kuona wapinzani wao kama Al ahaly, Kaizer, pirates etc.
Haji manara analazimisha kuwachokaza simba, eti anasema morali ya simba imeshuka wanaweza kususa kuja uwanjani. Kwa kifupi hii wiki watu wanaongelea mechi ya simba na pirates
Haji manara analazimisha kuwachokaza simba, eti anasema morali ya simba imeshuka wanaweza kususa kuja uwanjani. Kwa kifupi hii wiki watu wanaongelea mechi ya simba na pirates