Source link: IppMedia.Reps want Zanzibaris in foreign missions
2007-12-04 09:31:27
By Mwinyi Sadallah, Zanzibar
Some members of the Zanzibar House of Representatives say there is a need to have Zanzibaris in Tanzanian embassies so as to coordinate issues concerning Zanzibar.
The concern was raised at a seminar discussing the new economic diplomacy policy opened by Zanzibar Chief Minister Shamsi Vuai Nahodha last week.
Gando constituency representative Saidi Ali Mbarouk said Zanzibar needs officers in Tanzanian embassies to seek potential investors in the Isles.
Since the foreign affairs policy has changed, Zanzibar must be advertised so that our investment policy is known by foreign investors, Mbarouk said.
He added that Zanzibar should also be given the chance to participate in the East African Legislative Assembly and the Pan-African Parliamet through the Zanzibar House of Representatives.
Water, Works, Energy and Land Deputy Minister Tafana Kassim Mzee said since most foreign officers and ambassadors came from the Mainland, there was a need to have Zanzibaris in the country�s embassies abroad.
Foreign Affairs and International Cooperation Minister Bernard Membe assured the representatives that the Union government was thinking of increasing the number of ambassadors from Zanzibar.
So far we only have five ambassadors from Zanzibar in Italy, China, Saudi Arabia, Oman and Belgium, said Membe.
SOURCE: Guardian
Kuwepo kwa wawakilishi wa Zenj katika Balozi, hakumaanishi kuwepo kwa serikali tatu.
Hawa wazenj ni walalamishi sana. Kwani hao mabalozi 5 hawatoshi kuwawakilisha? Maana ukichukulia population yao ni ndogo kwa ratio labda watakuwa over representing. Wanadekezwa sana.Wapige kitabu kwanza.
Kitila,
nakuunga mkono...watanganyika hawadadisi kabisa haki zao ndani ya Muungano. Kwa mfano:-
..kwanini Tanzania Bara inalipa mishahara ya SMZ wakati waalimu wetu wanacheleweshewa malipo?
..kwanini SMZ haichangii ktk gharama za uendeshaji wa vyombo vya Muungano?
..kwanini wabunge wa Zanzibar wanachukua posho, wanashiriki na kupiga kura, ktk vikao vinavyojadili masuala ya Tanzania Bara?
..kwanini wazanzibari wanaendelea kuajiriwa/kuteuliwa ktk nafasi zisizo za Muungano?
..kwanini watanzania bara wanalazimika kutumia passport kuingia wanapokwenda Zanzibar, lakini Wazanzibari wanaingia Tanzania Bara kama msalani?
..kwanini wazanzibar wanaruhusiwa kupiga kura ktk chaguzi zetu lakini sisi haturuhusiwi kupiga kura ktk chaguzi zao?
..kwanini machangudoa kutoka Bara wanafukuzwa Zanzibar, lakini mashoga toka Zanzibar hawafukuzwi wanapoweka makazi huku Bara?
Je sasa hawapo?
Kitila,
..kwanini watanzania bara wanalazimika kutumia passport kuingia wanapokwenda Zanzibar, lakini Wazanzibari wanaingia Tanzania Bara kama msalani?
..kwanini wazanzibar wanaruhusiwa kupiga kura ktk chaguzi zetu lakini sisi haturuhusiwi kupiga kura ktk chaguzi zao?
..kwanini machangudoa kutoka Bara wanafukuzwa Zanzibar, lakini mashoga toka Zanzibar hawafukuzwi wanapoweka makazi huku Bara?
Kwa nini kila siku lazima Zanzibar waje na jambo jipya ? Ni kitu gani special kitachohitaji mzanzibar kukizungumzia kuhusu zanzibar . Mimi naamini ya kuwa maofisa wabalozi wanachohitaji ni proper training ya kuweza kulitangaza taifa letu kikamilifu ! Na ikiwezekana serikali iwape tour kwenye vivutio vyetu vya kitalii.
The point sio mtu lazima atoke zanzibar au atoke bara , bali tunahitaji marketer mzuri atakayeweza kusell product yetu " utalii" Mimi nimekaa Tanzania bara miaka yote lakini ukiniambia nizungumzie mbuga za selous ziwezi kwa sababu sijafika huko . Kitu ninachojiuliza jee tukiruhusu hawa wanzanzibar waitangaze zanzibar tutegemee nini huko mbeleni ? Nina hakika watasema ya kuwa unguja inatakiwa itangazwe na waunguja ....kwa hiyo waunguja wawe na mtu wao ! Huu ni ujinga ni lazima hawa wawakilishi watambue serikali aioperate kwa kuangalia sura au rangi ya mtu bali kwa kuangalia masuala ya taifa.