Haja Ya Kuwepo Wawakilishi Wa Zanzibar Kwenye Balozi..

Steve Dii

JF-Expert Member
Jun 25, 2007
6,402
1,254
Wana JF, je kuna haja ya kuwepo wawakilishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwenye balozi zetu nje ya nchi? Naomba tujadiliane kama ilivyo jadi yetu hapa.

Reps want Zanzibaris in foreign missions

2007-12-04 09:31:27
By Mwinyi Sadallah, Zanzibar


Some members of the Zanzibar House of Representatives say there is a need to have Zanzibaris in Tanzanian embassies so as to coordinate issues concerning Zanzibar.

The concern was raised at a seminar discussing the new economic diplomacy policy opened by Zanzibar Chief Minister Shamsi Vuai Nahodha last week.

Gando constituency representative Saidi Ali Mbarouk said Zanzibar needs officers in Tanzanian embassies to seek potential investors in the Isles.

Since the foreign affairs policy has changed, Zanzibar must be advertised so that our investment policy is known by foreign investors, Mbarouk said.

He added that Zanzibar should also be given the chance to participate in the East African Legislative Assembly and the Pan-African Parliamet through the Zanzibar House of Representatives.

Water, Works, Energy and Land Deputy Minister Tafana Kassim Mzee said since most foreign officers and ambassadors came from the Mainland, there was a need to have Zanzibaris in the country�s embassies abroad.

Foreign Affairs and International Cooperation Minister Bernard Membe assured the representatives that the Union government was thinking of increasing the number of ambassadors from Zanzibar.

So far we only have five ambassadors from Zanzibar in Italy, China, Saudi Arabia, Oman and Belgium, said Membe.

SOURCE: Guardian
Source link: IppMedia.

--Miye nilijua kutokana na kiwango cha utalii visiwani ningelitegemea hawa wawakilishi wapo tayari, na naona kuna haja kubwa ya wawakilishi kutoka Zanzibar kuwepo, ila wawe wataalam wa mambo yao na isitokee likawa jambo la uwakilishi tu kwa nia ya kujaza nafasi..


SteveD.
 
Kitila, naomba ufafanue zaidi, kwa ajili ya uelewa wa wengi ambao hatujui haya mambo kiundani, ahsante.


SteveD.
 
Kwa nini kila siku lazima Zanzibar waje na jambo jipya ? Ni kitu gani special kitachohitaji mzanzibar kukizungumzia kuhusu zanzibar . Mimi naamini ya kuwa maofisa wabalozi wanachohitaji ni proper training ya kuweza kulitangaza taifa letu kikamilifu ! Na ikiwezekana serikali iwape tour kwenye vivutio vyetu vya kitalii.

The point sio mtu lazima atoke zanzibar au atoke bara , bali tunahitaji marketer mzuri atakayeweza kusell product yetu " utalii" Mimi nimekaa Tanzania bara miaka yote lakini ukiniambia nizungumzie mbuga za selous ziwezi kwa sababu sijafika huko . Kitu ninachojiuliza jee tukiruhusu hawa wanzanzibar waitangaze zanzibar tutegemee nini huko mbeleni ? Nina hakika watasema ya kuwa unguja inatakiwa itangazwe na waunguja ....kwa hiyo waunguja wawe na mtu wao ! Huu ni ujinga ni lazima hawa wawakilishi watambue serikali aioperate kwa kuangalia sura au rangi ya mtu bali kwa kuangalia masuala ya taifa.
 
Kuwepo kwa wawakilishi wa Zenj katika Balozi, hakumaanishi kuwepo kwa serikali tatu.
 
Hawa wazenj ni walalamishi sana. Kwani hao mabalozi 5 hawatoshi kuwawakilisha? Maana ukichukulia population yao ni ndogo kwa ratio labda watakuwa over representing. Wanadekezwa sana.Wapige kitabu kwanza.
 
Hawa wazenj ni walalamishi sana. Kwani hao mabalozi 5 hawatoshi kuwawakilisha? Maana ukichukulia population yao ni ndogo kwa ratio labda watakuwa over representing. Wanadekezwa sana.Wapige kitabu kwanza.

Walalamisha au wadadisi wa haki na maslahi yao? Kwa ujinga wangu, wanzibari wanatuzidi sana sisi wa bara kwa habari ya uelewa wa kisiasa.
 
Kitila,
nakuunga mkono...watanganyika hawadadisi kabisa haki zao ndani ya Muungano. Kwa mfano:-

..kwanini Tanzania Bara inalipa mishahara ya SMZ wakati waalimu wetu wanacheleweshewa malipo?

..kwanini SMZ haichangii ktk gharama za uendeshaji wa vyombo vya Muungano?

..kwanini wabunge wa Zanzibar wanachukua posho, wanashiriki na kupiga kura, ktk vikao vinavyojadili masuala ya Tanzania Bara?

..kwanini wazanzibari wanaendelea kuajiriwa/kuteuliwa ktk nafasi zisizo za Muungano?

..kwanini watanzania bara wanalazimika kutumia passport kuingia wanapokwenda Zanzibar, lakini Wazanzibari wanaingia Tanzania Bara kama msalani?

..kwanini wazanzibar wanaruhusiwa kupiga kura ktk chaguzi zetu lakini sisi haturuhusiwi kupiga kura ktk chaguzi zao?

..kwanini machangudoa kutoka Bara wanafukuzwa Zanzibar, lakini mashoga toka Zanzibar hawafukuzwi wanapoweka makazi huku Bara?
 
Kitila,
nakuunga mkono...watanganyika hawadadisi kabisa haki zao ndani ya Muungano. Kwa mfano:-

..kwanini Tanzania Bara inalipa mishahara ya SMZ wakati waalimu wetu wanacheleweshewa malipo?

..kwanini SMZ haichangii ktk gharama za uendeshaji wa vyombo vya Muungano?

..kwanini wabunge wa Zanzibar wanachukua posho, wanashiriki na kupiga kura, ktk vikao vinavyojadili masuala ya Tanzania Bara?

..kwanini wazanzibari wanaendelea kuajiriwa/kuteuliwa ktk nafasi zisizo za Muungano?

..kwanini watanzania bara wanalazimika kutumia passport kuingia wanapokwenda Zanzibar, lakini Wazanzibari wanaingia Tanzania Bara kama msalani?

..kwanini wazanzibar wanaruhusiwa kupiga kura ktk chaguzi zetu lakini sisi haturuhusiwi kupiga kura ktk chaguzi zao?

..kwanini machangudoa kutoka Bara wanafukuzwa Zanzibar, lakini mashoga toka Zanzibar hawafukuzwi wanapoweka makazi huku Bara?

Hii ndoa ya Muungano...kaaziii kweli kweli.
 
Je sasa hawapo?

Mzalendo that is a good question! Unajua kuna wakati mwingine ukianza kuwasikiliza wajinga unaweza kuwa unaumiza kichwa. Suala la Ushirikiano wa Kimataifa ni suala la muungano, kwa hiyo hakuna mahali ambapo Tanganyika au Zanzibar zinawatumishi wake kwenye balozi za nje. Sasa hivi ukiangalia make up ya balozi zetu utaona kwa asilimia ya uwakilishi wafanyakazi watangayika ni wachache kuliko wazanzibar, wapo hata mabalozi kutoka Zanzibar. Sasa sijui hoja hii inatoka wapi, au ndio ule ule mdomo mrefu!
 
Huu muungano inabidi uangaliwe upya, tukiamua kuendelea nao basi tuwe na serikali tatu, ya bara, ya visiwani na ya muungano; vinginevyo tutakuwa tunaahirisha matatizo tu.
 
Tunaelekea pabaya. Nadhani mabalozi wachaguliwe on merits kwani wana kazi kubwa kuitangaza Tanzania hasa wakati wakati huu ambapo tuna advocate Economic Diplomacy. Kugawa ubalizo by virtue of proportional representation tutakuwa tunakosea. I think five ambassadors out of thirty plus embassies is more than a fair share for this little island.
 
Zanzibar kama wanahitaji kuwa na wawakilishi zaidi uwekwe mpango kamambe ili wawalipie mishahara n.k. kutoka bajeti yao ya serikali ya mapinduzi na tuache kutumia hovyo pesa za walipa kodi kwa uchu wa madaraka.

Hivi sasa serikali ya Zanzibar ina wawakilishi wengi sana per head katika serikali na sina uhakika kama kweli wote wanahitajika kulipwa pesa nyingi hivyo bila kazi za kueleweka.
 
Kitila,
..kwanini watanzania bara wanalazimika kutumia passport kuingia wanapokwenda Zanzibar, lakini Wazanzibari wanaingia Tanzania Bara kama msalani?

..kwanini wazanzibar wanaruhusiwa kupiga kura ktk chaguzi zetu lakini sisi haturuhusiwi kupiga kura ktk chaguzi zao?

..kwanini machangudoa kutoka Bara wanafukuzwa Zanzibar, lakini mashoga toka Zanzibar hawafukuzwi wanapoweka makazi huku Bara?


Kwa Taarifa tu:
Hakuna tena utaratibu wa kuingia Zenj kwa passport, Wabara wanaruhusiwa kupiga kura ili mradi tu awe ameishi Zenj zaidi ya miaka mitano, na Hao Machangudoa wamejaa tele na wanafanya kazi zao bila bughuza.
 
as long as kuna serikali mbili .....zanzibar lazima kila siku watakuja na jipya
kwa sababu it doesnt make sense kuwa nchi mbili ziungane zifanye serikali mbili, ilitakiwa iwe moja au tatu!
kwa manufaa na kuwaridhisha watanzania wote, mie ningependekeza serikali tatu na si moja.
 
Kwa nini kila siku lazima Zanzibar waje na jambo jipya ? Ni kitu gani special kitachohitaji mzanzibar kukizungumzia kuhusu zanzibar . Mimi naamini ya kuwa maofisa wabalozi wanachohitaji ni proper training ya kuweza kulitangaza taifa letu kikamilifu ! Na ikiwezekana serikali iwape tour kwenye vivutio vyetu vya kitalii.

The point sio mtu lazima atoke zanzibar au atoke bara , bali tunahitaji marketer mzuri atakayeweza kusell product yetu " utalii" Mimi nimekaa Tanzania bara miaka yote lakini ukiniambia nizungumzie mbuga za selous ziwezi kwa sababu sijafika huko . Kitu ninachojiuliza jee tukiruhusu hawa wanzanzibar waitangaze zanzibar tutegemee nini huko mbeleni ? Nina hakika watasema ya kuwa unguja inatakiwa itangazwe na waunguja ....kwa hiyo waunguja wawe na mtu wao ! Huu ni ujinga ni lazima hawa wawakilishi watambue serikali aioperate kwa kuangalia sura au rangi ya mtu bali kwa kuangalia masuala ya taifa.

wako sawa...They Are so creative!!!
 
Nilisha wahi kusema... serikali moja..Mabunge mawili...
La sivyo..Hili wazo ni sawa...!!
 
nadhani hapo ni kutafuta mgongano katika balozi, mathalani
-huyo mwakilishi wa zanzibar ubalozini atakuwa anaripoti kwa nani?
- kama tayari kuna muwakilishi wa zanzibar ubalozini sas balozi atakuwa anawakilisha tanzania, tanzania bara au tanganyika?
- je mshahara wa huyo muwakilishi utatoka katika fungu gani?

ninavyofahamu mimi katika baadhi ya balozi wapo maafisa kutoka zanzibar lakini wanafanatambulika kama maafisa wengine wa ubalozi wanaotokea bara yaani maafisa wa ubalozi wa tanzania.
 
Wakuu haya yote yamo kwenye matatizo ya Muungano wetu, tokea miaka hiyo hadi sasa kuna kilio ya kuwa hakuna usawa katika Muungano, tume lukuki zimeundwa na watu kuchukuwa chao just kufunika kombe mwanaharamu apite, hakuna hata tume moja iliosikilizwa. Wakati umefika sasa wa kuja na KATIBA mpya na then MUUNGANO mpya. Na ikiwezekana hata kuku wa Tz ajue details za Muungano huo achilia raia wa Tz!
muungano huu sio kabsaa, Tatu sio mbili. Mazungumzo ya Nahodha na EL kuhusu kero za Muungano sawa CUF na CCM, hayana mwisho. Wao watazungumza na wengine watafuatia kuzungumza.
yangu macho tu!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom