Kijiweni sometimes kuna mambo mazuri ya kujifunza ila usikae sana, kaa kama sababu zipo.
Kuna jambo lilikuwa linanitatiza sana hapo awali, kwa nini wengine wana hela na wengine hawana, je hela kweli huwa zinaisha? Zikiisha huenda wapi? Nani hasa mmiliki wa hizi hela ni watu binafsi na mashirika au serikali?
Nikagundua kwamba huu ni mchezo usiohitaji hasira, lazima ujue kanuni za mchezo huu ndio uucheze, vinginevyo utaingia kwenye football ukacheza netball.
Kumbe lazima uzione hela akilini kwa asilimia 95 na kwa macho yako ya nyama asilimia 5 tu.
Pia ujue hesabu na uwe rafiki na fedha, mwishowe zitakufuata.
.. Tuongezee mengine wadau ili Afrika nasi tujitoe kwenye hili dimbwi la umasikini
Kuna jambo lilikuwa linanitatiza sana hapo awali, kwa nini wengine wana hela na wengine hawana, je hela kweli huwa zinaisha? Zikiisha huenda wapi? Nani hasa mmiliki wa hizi hela ni watu binafsi na mashirika au serikali?
Nikagundua kwamba huu ni mchezo usiohitaji hasira, lazima ujue kanuni za mchezo huu ndio uucheze, vinginevyo utaingia kwenye football ukacheza netball.
Kumbe lazima uzione hela akilini kwa asilimia 95 na kwa macho yako ya nyama asilimia 5 tu.
Pia ujue hesabu na uwe rafiki na fedha, mwishowe zitakufuata.
.. Tuongezee mengine wadau ili Afrika nasi tujitoe kwenye hili dimbwi la umasikini