😳Kila kitu in biashara na kila kitu ni pesa ni wewe tu utakavyokigeuza kuwa pesa !!!
Mpaka mavi yanatengeneza maji ya kunywa
Azam F.cHaya yoote muyaonayo Kongole kwa......
1. Mama Samia
2. C.C.M
3. Mo Dewji
4. T.F.F
5. Simba S.C.
6. Wallace Karia
7. Azam Media
8. Yanga
9. Namungo
10. Clotous Chota Chama
11.
12.
Usinune, nawe ongezea vitu vilivyosaidia kufanya haya tunayoyashuhudia kutokea sasa hayakutokea kwa bahati mbaya...