Tubalance mambo, JK alijifelisha mwenyewe kabla hajakabidhiwa urais.
Hakujua alichipanda yangebaki kuwa matunda yake ktk njia nzima ya uongozi.
Alicheza rafu mapema kwa kutengeneza mskundi na meneja wake akiwa EL.
Makundi hayo yalimdhoofisha hata ktk jema lolote alilolifanya kiasi cha kumlegeza kabisa ikiwa ni ishara ya kunyoosha mikono.
Jamaa alianza vyema sana but adui zake hawakukubaliana na kufanikiwa kwake.
Nasema yapo mambo ambayo alifaulu kiasi ambayo Aliyepo hatayafikia. Pia yapo aliyoboronga sana.
Huyu tuliyenaye naweka akiba ya maneno