Haina haja ya kufunga ndoa msikitini au kanisani! Mahari inatosha kabisa kumfanya mtu kua mke

eden kimario

JF-Expert Member
Jun 13, 2015
10,227
16,178
Wakati mwingine ni bora kua huru kuliko sijui mko tayari kuishi kwa shida na raha wakati kiuhalisia hakuna alie tayari kuishi kwa shida tabu na mateso.

Mahari inatosha akizingua anarudi kwao tu na mimi natafuta kifaa kingine na yeye anaendelea na hamsini zake.

Hii mambo tutaishi kwa raha na shida wakati ikifika wakati wa shida wengi tunakimbiana ni upuuzi tu.

Sijui hata ni wapi Mungu alisema tuishi kwa shida na raha. Hivi wakati Adamu anakabidhiwa Eva au Hawa ilikuaje kwani?

Hakuna ambae yupo tayari kuishi kwenye shida tukichokana we tembea tu mahari yangu nitaisamehe wala sidai.
 
Fine.

Tafuta wa kwako utakaye mchukua kienyeji hivyo.

Pamoja na kuwa ni 'formalities' ambazo huzipendi, ila inabidi uzifuate.

Huna jinsi.
 
Hahahaha Pole mkuu umeshakimbiwa nn, maana na hali ilivyotete wadada kutoka nduki hawaoni ajabu
 
Mkuu unajua maana ya "Ndoa" according to any religion?

Unajua tofauti ya Ndoa na Posa?
 
mkuu nikusogeza tu mambo ya kanisani tupa kule!

halafu hata posa naona haina umuhimu kabisa yaani mi nitaoa bureeeee kama hawataki nakua nabadilisha kama nguo, maziwa kila siku unapata yanini ufuge ng'ombe!?
 
Wakati mwingine ni bora kua huru kuliko sijui mko tayari kuishi kwa shida na raha wakati kiuhalisia hakuna alie tayari kuishi kwa shida tabu na mateso.

Mahari inatosha akizingua anarudi kwao tu na mimi natafuta kifaa kingine na yeye anaendelea na hamsini zake.

Hii mambo tutaishi kwa raha na shida wakati ikifika wakati wa shida wengi tunakimbiana ni upuuzi tu.

Sijui hata ni wapi Mungu alisema tuishi kwa shida na raha. Hivi wakati Adamu anakabidhiwa Eva au Hawa ilikuaje kwani?

Hakuna ambae yupo tayari kuishi kwenye shida tukichokana we tembea tu mahari yangu nitaisamehe wala sidai.
Hiyo ndoa labda iwe ya kienyeji aisee. Ila Mungu akishaitambua, kifo ndo kitawatenganisha.
 
Hiyo ndoa labda iwe ya kienyeji aisee. Ila Mungu akishaitambua, kifo ndo kitawatenganisha.

wapi kwenye vitabu vtakatifu wamendika ndoa ya kanisani zaidi ya posa. Na ndoa ngpi za kanisani kila leo zinavunjka pamoja na hivyo viapo.

mi naona hizo ni formalities za kutiana hasara tu, gharama kubwa cjui matarumbeta hovyo kabisa then kwenye ndoa mwezi m1 tu then mgumi na mateke
 
Wakati mwingine ni bora kua huru kuliko sijui mko tayari kuishi kwa shida na raha wakati kiuhalisia hakuna alie tayari kuishi kwa shida tabu na mateso.

Mahari inatosha akizingua anarudi kwao tu na mimi natafuta kifaa kingine na yeye anaendelea na hamsini zake.

Hii mambo tutaishi kwa raha na shida wakati ikifika wakati wa shida wengi tunakimbiana ni upuuzi tu.

Sijui hata ni wapi Mungu alisema tuishi kwa shida na raha. Hivi wakati Adamu anakabidhiwa Eva au Hawa ilikuaje kwani?

Hakuna ambae yupo tayari kuishi kwenye shida tukichokana we tembea tu mahari yangu nitaisamehe wala sidai.
Lazima kunayaliyo kusibu hebu funguka zaidi mkuu
 
wapi kwenye vitabu vtakatifu wamendika ndoa ya kanisani zaidi ya posa. Na ndoa ngpi za kanisani kila leo zinavunjka pamoja na hivyo viapo.

mi naona hizo ni formalities za kutiana hasara tu, gharama kubwa cjui matarumbeta hovyo kabisa then kwenye ndoa mwezi m1 tu then mgumi na mateke
Ni kweli
 
Ndoa imeagizwa hata katika vitabu vyote viwili ..Quran & Bible..wewe jifanye umedata.
 
Back
Top Bottom