chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,540
- 2,683
Habari caren
Salamu zikufikie popote ulipo hata kama uzi huu utaupitia basi ujumbe ukufikie najua ni vigumu kuandika haya ila imebibidi kutokana na haya nnayopitia nmedhoofu kimwili na akili pia nahisi sintokua sawa tena.
Caren nimekuja kutambua kua kweli upendo /mapenzi hayalazimishwi kama yangekua yanalazimishwa basi kwa jitihada nilizo onesha kwako ningeweza kuibuka kidedea.
Caren ulijua huna hisia na mimi ila kwa nini ulinipotezea muda mpaka kufika hatua ya kukutambulisha kwa ndugu na wazazi pia ??aibu oloniachia haitopotea milele na chozi langu litakusakama kama laana inayomtafuna mtoto wa kiume aonapo utupu wa mzazi wake wa kike
Caren ni juzi tu nilipokuja nyumbani kwako nikakukuta na mwanaume mwingine kwa mikao mliyokaa ilikua haijanibariki kwa kweli inliohoji ukaniambia ni kaka yako lakini nikaja kubahini ni mchepuko wako kati ya wale 3 niliozifuma meseji zao kwenye simu yako
Caren umenifanya niwachukie wanawake wote duniani isipokua mama yangu nina andika haya kwa uchungu kwa nini hukiniambia mapema mpaka imefikia hatua ya mwisho ndo umeonesha makucha ?? Ila asante nimepata la kujifunza kupitia wewe Caren
Wanaume wenzangu tuishe na hawa viumbe kwa akili sana Ila
Sintokusahau caren
Salamu zikufikie popote ulipo hata kama uzi huu utaupitia basi ujumbe ukufikie najua ni vigumu kuandika haya ila imebibidi kutokana na haya nnayopitia nmedhoofu kimwili na akili pia nahisi sintokua sawa tena.
Caren nimekuja kutambua kua kweli upendo /mapenzi hayalazimishwi kama yangekua yanalazimishwa basi kwa jitihada nilizo onesha kwako ningeweza kuibuka kidedea.
Caren ulijua huna hisia na mimi ila kwa nini ulinipotezea muda mpaka kufika hatua ya kukutambulisha kwa ndugu na wazazi pia ??aibu oloniachia haitopotea milele na chozi langu litakusakama kama laana inayomtafuna mtoto wa kiume aonapo utupu wa mzazi wake wa kike
Caren ni juzi tu nilipokuja nyumbani kwako nikakukuta na mwanaume mwingine kwa mikao mliyokaa ilikua haijanibariki kwa kweli inliohoji ukaniambia ni kaka yako lakini nikaja kubahini ni mchepuko wako kati ya wale 3 niliozifuma meseji zao kwenye simu yako
Caren umenifanya niwachukie wanawake wote duniani isipokua mama yangu nina andika haya kwa uchungu kwa nini hukiniambia mapema mpaka imefikia hatua ya mwisho ndo umeonesha makucha ?? Ila asante nimepata la kujifunza kupitia wewe Caren
Wanaume wenzangu tuishe na hawa viumbe kwa akili sana Ila
Sintokusahau caren
