Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 13,774
- 29,298
Tunaenda kukutana nao fainali hao halafu ndio watatueleza waliwafungajeNi kweli hawana jipya ,, mchele mchele tu akina tau analipwa milioni 200 ni mavi tu,, ila sisi hatuna washambuliaji, kwaio watapita sio kwamba watapita kwakua wanajua mpira wa kutisha dunia na afrika bali watapita kwa uzoefu tu ..
Nataka nianzishe uzi wa Mangungu atuachie timu yetu, kila siku sisi tunaitwa Mwakarobo tu mkuuLabda mkapindue meza ya Ngungus Boy
Hawa watu wamechanganyikiwaWe kwa akili zako unaona utaenda kumtoa Al ahly kwake
Yanga mara ya mwisho kufika robo ilikuwa lini? We sema Simba haina kikosi cha kuitoa ahly sio mambo ya mara ya mwisho ilikuaje.Hawa watu wamechanganyikiwa
Muulize mara ya mwisho ahly kutolewa robo fainali ilikua lini
Namshukuru Mama Samia Hassani Suluhu kwa kutusaidia kufungwa goli mojaYanga mara ya mwisho kufika robo ilikuwa lini? We sema Simba haina kikosi cha kuitoa ahly sio mambo ya mara ya mwisho ilikuaje.
Naunga mkono hoja mjumbe...Waarabu hawatishi kama tunavyowafikiria.
Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20.
Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza kupindua meza Misri vizuri kabisa.
HAIJAISHA MPAKA IISHE
jobe BellinghamNani sasa anasimama pale mbele?
Waarabu hawatishi kama tunavyowafikiria.
Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20.
Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza kupindua meza Misri vizuri kabisa.
HAIJAISHA MPAKA IISHE
Quality za wachezaji ni za chini mno..Ni uhuni tu unaofanyika pale, wakiambiwa leteni wachezaji wanaleta warukaji rukaji, mpira ni project endelevu.
Mwaka jana tumefika final sio robo tuYanga mara ya mwisho kufika robo ilikuwa lini? We sema Simba haina kikosi cha kuitoa ahly sio mambo ya mara ya mwisho ilikuaje.
Tutavaa km kawaaaaa.Makolo hizo jezi la mamelodi fungieni vitumbua zimeshakuwa nzito
Kwa Wachezaji hawa hawa Walioshindwa kufunga jana? Hiyo ni NDOTOWaarabu hawatishi kama tunavyowafikiria.
Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20.
Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza kupindua meza Misri vizuri kabisa.
HAIJAISHA MPAKA IISHE