Baada ya mc kujaribu kila namna ili kuufanya ukumbi,uchangamke kwa furaha ya utani wa hapa na pale.
Alijikuta kapoteza muelekeo na kumtania bibi harusi ambaye alikuwa kashika kipaza sauti tayari kwa kutambulisha nduguze.
mc:bibi harusi huyu ametua na ndege leo toka .....
b.harusi:asante ndugu mc
mc:ni mtoto mpya kabisa
b.harusi:asante ndugu mc
mc:ni mtoto wa geti kali
b.harusi:haichekeshi
mc: nakusifia ujue hii ni shughuli yako
b.harusi:haichekeshi
mc:au sababu sikuwapunguzia bei nini
b.harusi:haichekeshi
mc:basi ukumbi makofi kwa bibi harusi tafadhali
b.harusi:haichekeshi