Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,052
- 6,702
Mungu niepushe maana akiniletea mtu hizo habari kazini ntaliamsha dude hataamini. Kama mbwai iwe tu DC anipigishe pushapu? Si anifukuze kazi tu nikalime huko Rais atanisamehe maana nitamtukana mwakilishi wake hadi asahau njia.