Hai: Freeman Mbowe apatikana na hatia, ahukumiwa mwaka Mmoja jela

Poleni wana CMD. Hivi kama hatatakaswa na mahakama kama alivyofanyiwa Alhaji Rage baada ya kukata rufaa ataweza kugombea ubunge ama Urais?

Mkuu huyo aliyepigwa anaweza kufungua kesi ya madai yaani tort.
CMD ndo nini?
Chenge aligonga akaua tena kwa kutumia gari mbovu isiyo na vibali na kagombea tena, itakua hii ya kumzaba mtu kibao
 
Mwenykiti wa CHADEMA, Mh Freeman Mbowe, Leo katika Mahakama ya Mjini Hai, amepatikana na hatia ya kumshambulia muangalizi wa kituo cha kupigia kura.

Amehukumiwa faini ya 1m au kifungo cha mwaka 1.

Watu waliofika mahakamani hapo wamechanga pesa hizo na kumlipia papohapo.

Ameondoka kuelekea Dar.

Kwanini kesi zisubiri joto la uchaguzi ndio zianze kufufuliwa ?
 
mleta mada soma vzuri hicho kipengele kosa la uaminifu ama adhabu ya kifo inamuondolea mtu uhalali wa kugombea ....uaminifu ni makosa ya rushwa ..sasa jiulize wasira alihukumiwa kwa kosa la rushwa na akavuliwa ubunge hadi leo ni mbunge labda kuna vipengele umeviacha wewe
 
tulia ewe msukule wa zito. Hii ni case ya kawaida tu. Hata wew mwenyew unayo sema uliwahi kumshambulia kimaneno ama kumpiga hakuenda mahakaman. Umegombana mara ngapi ktk maisha yako wew. Hata bungeni watu huzipiga na huendelea kuwa mbunge. Au unajifanya wew leo ndo umesikia kesi kama hiyo ya kitoto???

bungeni unarusiwa ata kutukana ;hakuna anayekukataza lakini ukivuka ukuta ;thubutu kukutwa
au sheria inapiga chenga; nenda shule za kata wanaandikisha
 
Umesahau kaka ungemmalizia tu kwa kumuambia kwamba.
Dhambi waliomfanyia ZITO kabwe itawatafuna wao kwa wao kama Mbuzi wa kafara.

Na hapo ndio naona UKAWA wanamsimamisha LIPUMBA sasa kwenye Uraisi,hahaha sipati picha ya watu kupoteza majimbo kama njugu kwa chuki za wao kwa wao,ndani kwa ndani.
Mtaweweseka sana najua Zitto kufukuzwa CHADEMA ccm mlipata pigo kubwa sana lakini hakuna mwenye uwezo wa kushindana na nguvu ya CHADEMA .
UKAWA NI SUMU YA KUIONDOA MADARAKANI SERIKALI YA MAJIZI CCM.
 
Last edited by a moderator:
Umesahau kaka ungemmalizia tu kwa kumuambia kwamba.
Dhambi waliomfanyia ZITO kabwe itawatafuna wao kwa wao kama Mbuzi wa kafara.

Na hapo ndio naona UKAWA wanamsimamisha LIPUMBA sasa kwenye Uraisi,hahaha sipati picha ya watu kupoteza majimbo kama njugu kwa chuki za wao kwa wao,ndani kwa ndani.
Ukawa inakupa shida saaana inaonekana. Tumezoea hujuma Za magamba lkn siku zote tunapenya. Chadema ni mkombozi wa Taifa hili itaendelea kusimama daima. Zana za kilimo sio agenda kwetu Tena
 
tumesikitishwa sana na hujuma zilizofanywa na mahakama leo baada ya kutoa hukumu iliyokuwa inamuhusu mbunge wa jimbo la hai ambaye ni mwenyekiti wa chadema taifa mhe.mbowe kupewa hukumu ya kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya shilingi milioni moja .ukisoma katiba kwa makini katiba yetu kwa mstari hapo chini .mbowe hatoweza tena kugombea ubunge wa hai kutokana na hukumu ya leo
View attachment 261192
hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho baada ya ccm kuona mbowe anakubalika sana kwenye jimbo lake la hai naona ccm wameamua kuja hizi mbinu za hujuma kwa kushirikiana na mahakama lakini watambue watakuwa wanashinda na moto wa gesi hawawezi kufanikiwa kuzuia harakati za mbowe kwenye ukombozi wa nchi hii.
ccm ipo kwenye mstari wa kifo.

pombe za rombo zitakuwa zinakusumbua
 
Hivi kwani rufaa au hukumu inatolewa JF,au

Tumia kura yako vizuri ndio itakayokuongoza.
Ila hakuna cha chochote kitakacholeta Mabadiliko kwenye maisha yako kama ni mzembe wa kusaka doo,na kukalia politike.

Mnajiandalia tu maradhi ya moyo na strokes kwenye age fulani.

Rufaa ipo wazi,na wanasheria mahiri wanao.Kwani chama kweli chenye Nguvu kinategemea uwepo wa mtu mmoja?
Hiki sio chama sasa itakuwa ni NGO.
Asipogombea yeye,awe mtu mwingine mwenye uwezo tu,yeye sio roho ya Chadema.

Sipati Picha Lipumba anavyofurahi hukum hii.
Hakiiiiiiiiiiiii,Hakiiiiii sawaaaaaaaaaaaaa,Nafasi imebakia kwa Lipumba kuwa Raisi wa Ukawa.Maana hapo Slaa hana jipya.

Zito Kabwe anwachungulia kwa mbaaali ili ajue wapi ataanza kulamba majimbo ya Chadem,najua kuna team Ex Chadema inasubiria tu watu wapendekeze majina ya wagombea kwa mfumo wa kuachiana,hapo ndio watu wahama kama njugu kwenda kwa ZITO.

Mwaka huu mtam sana kwenye Siasa asiee.
 
mleta mada soma vzuri hicho kipengele kosa la uaminifu ama adhabu ya kifo inamuondolea mtu uhalali wa kugombea ....uaminifu ni makosa ya rushwa ..sasa jiulize wasira alihukumiwa kwa kosa la rushwa na akavuliwa ubunge hadi leo ni mbunge labda kuna vipengele umeviacha wewe

Viongozi wa ccm akina Chenge,Rage,Wassira wao wapo juu ya sheria
 
Mahakama sio
State sawa... lkn state ni mhimili?mihimili ni executive parliament na judiciary... halafu mahakama zetu hazina. uhuru wa moja kwa moja... wanafanya kazi chini ya mashinikizo sana

Hakuna mashinikizo mahakamani kama hakimu atasimamia kwenye haki.
 
Mwenykiti wa CHADEMA, Mh Freeman Mbowe, Leo katika Mahakama ya Mjini Hai, amepatikana na hatia ya kumshambulia muangalizi wa kituo cha kupigia kura.

Amehukumiwa faini ya 1m au kifungo cha mwaka 1.

Watu waliofika mahakamani hapo wamechanga pesa hizo na kumlipia papohapo.

Ameondoka kuelekea Dar.

Mbona Rage na Chenge walihukumiwa na wakalipa faini na wakagombea ubunge?
 
Haya sasa. Huyo anataka ridhaa ya wananchi wakichague chama chake, Atakuwa Mwenyekiti wa chama tawala anayeshambulia raia wake.

Hata Nyerere aliamuru raia wake wahalifu wachapwe viboko 12 wakati wa kuingia gerezani na 12 vingine wakati akitoka akamwonyeshe mkewe.
 
Back
Top Bottom