Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,277
Haha this Chick alikua anaenda kupanda daladala, konda akamwambia....
"Hai Bebi..."
Dame akasmile akajibu.... "Fresh tu"
Konda akamtell tena.... "Hai Bebi"
Huyu dame, kinda pissed off....
"hizi salamu nazo, si nimekujibu!" then akaingia kwenye dala dala...
Konda akamshoutia....
"Wewe ni nini unazusha?
Nakwambia hii gari Hai Bebi"
"Hai Bebi..."
Dame akasmile akajibu.... "Fresh tu"
Konda akamtell tena.... "Hai Bebi"
Huyu dame, kinda pissed off....
"hizi salamu nazo, si nimekujibu!" then akaingia kwenye dala dala...
Konda akamshoutia....
"Wewe ni nini unazusha?
Nakwambia hii gari Hai Bebi"