sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,673
Mwizi alibomoa nyumba akaingia kkt stoo akaona vinyama kwenye kibakuli vilivyokauka, akaonja kimoja akaona kitamu kina chumvi! Akafurah akakaa chini akala vyote alipomaliza akaangalia juu ya mlango akaona pameandikwa chumba cha kutahiria, Akazimia baada ya kujua amekula MAGOVI!!