Hadithi Ya Wafungwa kwenye Pango (Fumbo la Maisha)

Hapa naona ni imani ndo imeguswa sana watu tukizaliwa kwenye imani ya ukristo au uislam tuna imani izi imani ni bora kwamba zingne ni ushetani tu

Watu atutaki kujifunza na imani nyingne tunajiona imani zetu zipo salama kabisa aziitaji ata kuchunguzwa.
 
Hapa naona ni imani ndo imeguswa sana watu tukizaliwa kwenye imani ya ukristo au uislam tuna imani izi imani ni bora kwamba zingne ni ushetani tu

Watu atutaki kujifunza na imani nyingne tunajiona imani zetu zipo salama kabisa aziitaji ata kuchunguzwa.
 
Hii hadithi inatuangukia sisi waafrika. Shule na dini ndio hasa vifungo vyetu vinavyotutengenezea zuio la kufikiri nje ya tulivyofundishwa.
Hapo wametuweka kwenye mapango ya DINI SIASA na UCHUMI

Mf. shule tunasoma vitu kinyume hasa na uhalisia wa mazingira yetu, kutokana mitaala yao haiendani kabsa na mazingira yetu. Mahali tumewezwa hasa na kuwezekana ni kwenye dini.

Mungu wa vitabani ukimfikiri sana ambaye ndiye chanzo cha dini nyingi unaona kuna vitu havipo sawa kiasi tumempa MZUNGU Id ya ubinadamu.
Hua natafakari hivi "kwa nini wafu kwao wawe watakatifu na wa kwetu wawe mizimu?
Jambo la pili "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" tukiweza kupata codes na ku unlock this statement tutakua tumepona.

Ukiigeukia siasa ndipo pango kulichomoka ni ngumu. Kwa ufupi siasa dini na uchumi ndio mapango yetu tumo humu ila
pango hatari kabisa ni dini.
 
Mzee wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.
 
 
Ni fumbo la Roho na Mwili. Fumbo linahusu kujitambua au True Self realization. Roho inakuwa mtumwa wa Mwili na Mambo yake ambayo ni ya ki Dunia(Jela). Licha ya kwamba Roho ni ya milele ikiwa Mwilini inapoteza Ukweli kwamba, haifi, haina njaa, haina kiu, haina nyege, ina own kila kitu hivyo sio masikini, sio binafsi hivyo inaupendo wa kweli na ni kamili na timilifu.

Tafsiri ya ukuta ni limitation of our prosperity, achievemts, happness and fulfillment which end when we part with our bodies during death.

Tafsiri ya mfungwa aliona maisha mengine na anashindwa kuwambia wafungwa waliobaki Jela ni ugumu wa mawasiliano kati waliohai na wafu. Roho ilikufa haiwezi rudi kuwaambia walio hai what is life after death. If we new kwamba mafanikio yoote ya maisha ni kazi bure kwani ni ya mwili ambao hufa. Tusingelihangaika na maisha kaisi hicho tungeamua kufa kwa namna yeyote hii ndio tafsri ugumu wa kugeuka nyuma licha ya kwamba tunaitwa tufe.

In short the big lesson here is although we may think and approve the way we live and the way we term our successes, happyness and fulfillment but we should realize "There is nothing to achieve except realize that. "

Tafsiri ya aliyegundua maisha mazuri na bado hawezi kuchangana na wale waopita kwenda sokoni au kushindwa kuyaishi maisha mapya bado anarudi kuwajuza wafungwa wanzake ni kwamba inabidi kuijua KWELI tukiwa hai mwilini.

KWELI inatambuliwa rohoni na unaishi nayo maishani, sio simulizi. KWELI inakuweka huru milele.
 
I have never seen an incredible reply here in JamiiForums than this

You had a perfect narration
 
Hapa nimepapenda, pamefungua kitu katika maisha yangu. Tano Kwa Appolo.
 
Bonge la myth la kufikirisha.

Kweli katika dunia yetu tunafungwa na mengi and sometimes we think that we know almost everything kumbe bado tuko pangoni na hatujui lolote. Wanapokuja waliojua kutuzidi tunawaona wamepotoka na kuchukulia mitazamo yao ni uongo ila tunachkijua sisi ndio ukweli.

Mfano katika dini watu wamefungwa kiasi kwamba hawaoni hata makosa yaliyopo kwenye bible. Na ukimueleza mtu some errors zilizopo ana weza kugombana na wewe without finding the fact. Pia kwanini vitabu kama gospal of thomas vimeondolewa kwenye bible no one wanna know that. Tuko kwenye pango and we think what we see is reality while not.

Big up Apollo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…