*NAKUFAHAMU VIZURI*
MTUNZI: KJM (0718274130)
SEHEMU YA 06
Nilikosa cha kumjibu Amina, nikabaki namuangalia tu. Nilishachoka na vituko vya Lutfiya. Wazo la haraka haraka nililokuwa nalo ni kuwa Lutfiya sio binaadamu wa kawaida, bali ni jini. Na mara kadhaa nilishasikia stori mbili tatu zinazowahusu majini na kero wanazowapa binaadamu, haswa wanapokuwa wanawataka kwa haja zao.
Lutfiya ameshanitamkia kuwa anataka ndoa, bila shaka huyu ni miongoni mwa majini mahaba ambao niliwahi kusikia habari zao. Ila kitu cha tofauti kuhusu Lutfiya, ni kwanini ajitokeze ana kwa ana? Stori zote za jini mahaba nilizozisikia ni kuwa huwa wanakuja usingizini tu.
Wanafanya mapenzi na binadamu kisha wanaondoka ukiwa usingizini bado. Ingawa athari wanazokuachia katika maisha yako ya kawaida ni kuwa hutatamani kuoa wala kuwa na mpenzi. Na hata ukiwa nae, mara nyingi jongoo hapandi mtungi mbele yake, hivyo utaishia kukimbiwa tu na wanawake.
Wakati niko katikati ya dimbwi hili la mawazo, huku nikiwa nimeganda pale mlango wa bafuni, nilihisi kushikwa begani. Nikanyanyua uso wangu na kuangalia mbele. Alikuwa amesimama Amina, binti wa kimanga mwenye sura ya mvuto sana. Alikuwa akitabasamu na kufanya vishimo vyake vya mashavuni maarufu kama dimpoz kuonekana vizuri. Kifua chake kilichosheheni matiti ya wastani yaliyosimama vizuri kilivutia sana.
Nadhani kila mwanaume duniani angetamani kuona kifua hiki. Amina alikuwa amelowa maji aliyokuwa amejimwagia hapo bafuni, kitu kilichofanya avutie zaidi. "Mheshimiwa spika" alianza kusumbua huko bungeni kwake. Nikasaula nguo zangu zote harakaharaka na kumkumbatia Amina kuelekea katika bomba la mvua pale bafuni.
“Ulijuaje kama nimekufuata ili nije nikuogeshe?” Aliniuliza Amina.
“Najua umenimis sana, najua una hamu na mimi”. Nilijibu tofauti kabisa na swali nililoulizwa. Kama tujuavyo, kichwa cha chini kikishasimama cha juu kinaacha kufanya kazi. Amina alinimwagia maji kisha kunipaka sabuni kwa mikono yake laini mno. Kisha akanisuuza na kunifuta maji na taulo kabla sijambeba na kuelekea nae chumbani ambako tulizama katika penzi zito sana. Tofauti na siku nyingine za nyuma, siku hii nilihisi utamu uliopitiliza kwa Amina.
“Leo mbona umekua mtamu namna hii baby?” Niliamua kumuuliza wakati huu amelalia kifua changu huku nikipapasa nywele zake.
“Leo nimetia ndimu badala ya Limao, kwahiyo ladha lazima iongezeke”. Alinijibu kwa mzaha Amina huku akicheka na kunifanya nami nicheke.
“Nafurahi sana ukiwepo hapa, maana lazima nitacheka tu”. Niliongeza.
“Mimi zaidi yako, mwezi mzima huu unanikwepa, tangu nikufumanie hutaki hata kunipa huduma mwenzio. Kwani nani aliyekwambia naweza kuachana na wewe sababu nimekufumania na Zuwena?
Watu wote humu duniani wanajua kuwa wewe unampenda Zuwena, ila wazazi wake tu ndio hawawezi kuruhusu mtoto wao aolewe na maskini kama wewe, na hapo ndipo tunapoitumia fursa ili angalau na sisi tunaweza kuwa mbadala wake”. Amina aliongea kwa hisia.
Ni kweli umepita mwezi mzima tangu anifumanie hapa nyumbani kwangu, nikiwa na mpenzi ninayempenda zaidi, Zuwena.
“Baada ya Zuwena, hakuna msichana anayeweza kuchukua nafasi yake isipokuwa wewe, nakupenda sana Amina”. Niliongea kwa hisia kidogo, sikujua ni kwanini leo. Sababu pamoja na uzuri wa Amina, yeye si miongoni mwa wanawake ninaowapenda zaidi. Hayupo hata tatu bora.
“Naomba uniahidi kitu Adam...” Aliongea Amina kwa sauti ya kunung'unika.
“Nambie tu mpenzi, sem chochote”. Nilijikuta nikijibu tu bila kujua athari ya majibu haya kwa Amina, binti aliyekuwa ananipenda sana.
“Utanioa?” Aliuliza swali gumu kidogo Amina, kwakuwa nilikuwa sitaki kumkosea ili niendelee kufaidi, nilijibu tu "Ndio nitakuoa".
Amina alifurahi sana, na kuanza kunibusu mashavuni, huku mkono mmoja akiupeleka kwa "Mheshimiwa spika" pale bungeni kwake. Nadhani lengo lake lilikuwa kutaka kufungua kikao kingine cha mchana baada ya mapumziko. Sikuwa na hiyana, nami nikaungana naye kwa kuanzia kwenye chuchu zake. Nilizitia mdomoni na kuanza kumung'unya kama pipi ya chocolate.
“Aaa..daa.m” nilisikia akiita kwa sauti ya chini sana Amina huku akizungusha zungusha kiuno chake.
Wakati tukiwa katika hali hii, nilihisi kama mlango unagongwa.
“Nasikia kama mtu anagonga, ngoja nikamtizame”.
Nilimwambia Amina ambaye aliitia kwa kichwa kuniruhusu. Nikaruka kutoka kitandani na kuelekea nyuma ya mlango, nikavuta bukta yangu iliyokuwa hapo nyuma ya mlango, nikavuta na singlendi yangu, kisha nikashika kitasa kabla ya kuzungusha ufunguo na kuvuta mlango.
“Adam”. Nilisikia sauti ikiniita ikitokea nyuma yangu kabla sijapiga hatua moja kutoka nje ya chumba.
“Unasemaje tena Amina?” niliuliza katika hali ya kukereka kidogo huku nikigeuka. Lakini tofauti na nilivyotarajia, kitandani nilimkuta amekaa Lutfiya, akiwa amevalia vizuri kama vile alivyokuwa asubuhi. Niliangaza chumba chote huku na huko, hakukuwa na Amina kabisa chumbani mle.
“Mpango wangu namba moja umekamilika, asante sana kwa penzi zito Adam, nenda kamfungulie Amina, akiondoka nitakuja tena tuendelee.. Lakini kumbuka ahadi yako uliyotoka kuniahidi punde tu kuhusu ndoa, bye”. Aliongea Lutfiya na kunifanya nikune macho yangu kuhakikisha ninachokiona. Nilipoangalia tena, hakukuwa na mtu pale chumbani.
Itaendelea..
Sent using
Jamii Forums mobile app