moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 8,040
- 16,870
Hahahaaa nilishaitoa siwezi kubaki nayo tena,ila mtongozo anaopewa bibie waziwazi mie unaniacha kinywa wazi
Hahahaaa nilishaitoa siwezi kubaki nayo tena,ila mtongozo anaopewa bibie waziwazi mie unaniacha kinywa wazi
Ebu ukooMmmh
Nina shida na wewe ya muhimu Sana mkuu siwezi iweka hapa.Ulikua na shida gani uko inbox mkuu

Mkuu utanisamehe pm situmiiNina shida na wewe ya muhimu Sana mkuu siwezi iweka hapa.![]()
Shunie na wenzio mnauingilia huu uzi kinyume na maumbile... wengine tukiona uzi umesogea tunajua story imebandikwa kumbe nyie mnapiga story zenu.



wanauingilia uzi kinyume
Hahaahahah
Si unajua tumeshafukuzwa tumeambiwa tunaingilia kinyume hii thread

Hahaha
Uniteke au tutekane

Hata sijui tutajua ukouko