Mwanzo mzuri kama wengine walivyochangia.
Nadhani "body movement" umejitahidi lakini zibanie kidogo kwani zinaonekana kuwa too much. Camera iweke karibu kidogo, yaani, sio lazima kuona full frame ya mwili muda wote, hapo utapunguza hizo body movement kwani frame itakuwa ya ukaribu zaidi.
Subtitles, jaribu rangi nyeupe, na kama unaweza kui'frame text, basi, iwe na mzunguko au kivuli karibia na black.
Ground level ipo "flat" sana, kama software unayotumia unaweza kuweka "mawimbi" hapo itasaidia pia. Texture ipo flat, je hiyo software inaweza kuonyesha "milima na mabonde"/shadows mfano kwenye ground, naona kuna mawe, scene ionyeshe hiyo kidogo (all depends on software though...)
Random assets. Naona matunda yote yameanguka in same direction. weka randomnness kwenye hizo scenes. Miti pia pana repetition ambayo inaonekana.
Mwisho, movement kwenye assets za miti nk, just subtle movement inatosha...
Anxiously waiting for second episode.