Hadi tutakapopata Rais ambaye hajasoma UDSM

kibaravumba

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
6,635
7,005
Naona hiki chuo kimefeli sana hasa kutokana na aina ya wasomi wanaotoka hapo.Ukifuatilia kwa makini,utagundua kuwa maamuzi mengi ya fitina,visasi,na jazba yanatafsiriwa kama uwajibikaji na uzalendo yanapofanywa serikalini ! Na wanaofanya hayo ndio hao hao wana udsm ! Mwl wenu ni nani mbona uchumi unawashinda nchi hii ?

Masuala ya uongozi ni zero ! Kama serikali iliyopita ilifanya maamuzi leo serikali ya chama kile kile mnawezaje kuyakana maamuzi yaliyofanywa na wenzenu kama vile yalifanywa na ukawa ? Dangote si mlikubaliana naye wenyewe ? Leo nini kinawafanya mumgeuke huku mkijua kuna watanzania wengi watapoteza ajira na kwamba mnaharibu image ya nchi kwa wawekezaji ?
Nimejiuliza kwa nini Nyerere na Mkapa walikuwa tofauti sana nikagundua hawa hawakuwa wasomi wa udsm.Unaweza kuangalia na kutafiti kidogo utagundua hata sehemu nyingine za kazi hawa watu hawafanyi vizuri zaidi ya kujisifia tu digrii zao tu
 
Naona hiki chuo kimefeli sana hasa kutokana na aina ya wasomi wanaotoka hapo.Ukifuatilia kwa makini,utagundua kuwa maamuzi mengi ya fitina,visasi,na jazba yanatafsiriwa kama uwajibikaji na uzalendo yanapofanywa serikalini ! Na wanaofanya hayo ndio hao hao wana udsm ! Mwl wenu ni nani mbona uchumi unawashinda nchi hii ?

Masuala ya uongozi ni zero ! Kama serikali iliyopita ilifanya maamuzi leo serikali ya chama kile kile mnawezaje kuyakana maamuzi yaliyofanywa na wenzenu kama vile yalifanywa na ukawa ? Dangote si mlikubaliana naye wenyewe ? Leo nini kinawafanya mumgeuke huku mkijua kuna watanzania wengi watapoteza ajira na kwamba mnaharibu image ya nchi kwa wawekezaji ?
Nimejiuliza kwa nini Nyerere na Mkapa walikuwa tofauti sana nikagundua hawa hawakuwa wasomi wa udsm.Unaweza kuangalia na kutafiti kidogo utagundua hata sehemu nyingine za kazi hawa watu hawafanyi vizuri zaidi ya kujisifia tu digrii zao tu
Hili lina ukweli kiasi fulani hususani "psychologically"....wasomi wengi wa udsm wana "superiority complex" ukilinganisha na vyuo vingine. Wakufunzi wa vyuo vikuu wana nafasi kubwa sana "psychologically" kwa wanafunzi wao katika maeneo mengi, mfano "team work", "leadership skills", "decision making" n.k

Wanachuo wengi hujifunza kwa kuona,kusikia na kifikra wanapoishi mazingira fulani ya chuo chao bila hata kujua. Mfano, utaratibu wa vipindi, mwenendo wa "democracy" n.k
 
Hakuna hoja hapa porojo tu bavicha akili yenu fupi sana.
 
Naona hiki chuo kimefeli sana hasa kutokana na aina ya wasomi wanaotoka hapo.Ukifuatilia kwa makini,utagundua kuwa maamuzi mengi ya fitina,visasi,na jazba yanatafsiriwa kama uwajibikaji na uzalendo yanapofanywa serikalini ! Na wanaofanya hayo ndio hao hao wana udsm ! Mwl wenu ni nani mbona uchumi unawashinda nchi hii ?

Masuala ya uongozi ni zero ! Kama serikali iliyopita ilifanya maamuzi leo serikali ya chama kile kile mnawezaje kuyakana maamuzi yaliyofanywa na wenzenu kama vile yalifanywa na ukawa ? Dangote si mlikubaliana naye wenyewe ? Leo nini kinawafanya mumgeuke huku mkijua kuna watanzania wengi watapoteza ajira na kwamba mnaharibu image ya nchi kwa wawekezaji ?
Nimejiuliza kwa nini Nyerere na Mkapa walikuwa tofauti sana nikagundua hawa hawakuwa wasomi wa udsm.Unaweza kuangalia na kutafiti kidogo utagundua hata sehemu nyingine za kazi hawa watu hawafanyi vizuri zaidi ya kujisifia tu digrii zao tu
Chuo kikuu cha Dar es salaam ni miongoni mwa vyuo vikuu bora barani Africa.

Na wasomi wanaomaliza hapo wanaheshimika Duniani kote.

Tusichanganye mambo ya Siasa na Taaluma

Tusichanganye chuki za kisiasa na uwezo wa wana taaluma wanaomaliza UDSM.

Tusichanganye mambo ya uchumi kwa wanainchi na uwezo wa kitaaluma UDSM.
 
Back
Top Bottom