Kwa mujibu wa kauli aliyo itoa waziri wa Ulinzi leo trh 15/6/2021 mbele ya Amiri Jeshi Mkuu kuwa wamewashikisha adabu majambazi na mtandao wao na bado wanaendelee na operesheni kabambe.
Pongezi kwa Jeshi letu kwa kazi nzuri, nasi wananchi tunawaahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa kuwafichua MAJAMBAZI wote, Wezi, vibaka, wabakaji lkn bila kuwasahau wakubwa wa Majambazi ambao ni WAUZAJI WA DAWA ZA KULEVYA.
kazi iendelee kwa maarifa na weledi.
tuendelee kuwafichua kwa siri, lengo ni kutokomeza
Pongezi kwa Jeshi letu kwa kazi nzuri, nasi wananchi tunawaahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa kuwafichua MAJAMBAZI wote, Wezi, vibaka, wabakaji lkn bila kuwasahau wakubwa wa Majambazi ambao ni WAUZAJI WA DAWA ZA KULEVYA.
kazi iendelee kwa maarifa na weledi.
tuendelee kuwafichua kwa siri, lengo ni kutokomeza