Hadi sasa madiwani waliohama CHADEMA ni 60

Hadi sasa madiwani waliohama CHADEMA ni 60

Kuna diwani namjua soon anavaa jembe na shoka kutoka chama kile chenye kambi mbili kwa sasa.
 
Je hao sitini wametucost shillingi ngapi? Na hizo hela zimetoka wapi? Na kazi ya kutayarisha chaguzi mpya zimetucost fedha ngapi? Zimetoka wapi na kwamanufaa tu ya kumsifu mfalme?
Jamani ccm mtuhurumie mnatuumiza na kodi kwa matumizi yenu holela!!!
Kwani nawewe umo?hata ziki cost mbingu na nchi poa tu.
 
Back
Top Bottom