Hadi leo tarehe 23/7/2017 mshahara bado!

Hadi leo tarehe 23/7/2017 mshahara bado!

Ni shida kubwa.Tupo tunahangaika wenyewe wala hakuna anayeumizwa na hili suala.
 
zipo sawa mkuu
Watumishi wote wa umma mishahara imeingia toka ijumaa Mchana. Kama wewe bado possibly huja hakiki taarifa zako kwa kutumia kitambulisho cha uraia, salary slip pamoja kitambulisho cha kazi au majina yako ya kwenye akaunti yanatofautiana na majina yaliyoko kwenye pay slip! Fuatilia utajua tatizo lipo kwenye haya niliyo ainisha.
 
Watumishi wote wa umma mishahara imeingia toka ijumaa Mchana. Kama wewe bado possibly huja hakiki taarifa zako kwa kutumia kitambulisho cha uraia, salary slip pamoja kitambulisho cha kazi au majina yako ya kwenye akaunti yanatofautiana na majina yaliyoko kwenye pay slip! Fuatilia utajua tatizo lipo kwenye haya niliyo ainisha.
 
Back
Top Bottom