Hadi 2030 Morogoro itakuwa na maji 100%

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Apr 26, 2022
259
353
Serikal ya Rais Samia Suluhu imeidhinisha Sh. Bil 56 kwa mkoa wa Morogoro katika mikataba 46 ya miradi ya maji vijijini ili kuhakikisha lengo la asilimia 85, linafikiwa ifikapo mwaka 2025 kuodoa changamoto ya uhaba wa maji.

Meneja wa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) mkoani Morogoro alikaririwa akisema kuwa ndani ya mwaka mmoja mkoa wa Morogoro katika kiwango cha usambazaji wa maji umetoka 62% hadi 72%.

Kurahisha zoezi hilo, utoaji wa fedha hizo uliambatana na utoaji wa pikipiki kwa watumishi ili kuweza kutekeleza agizo la Serikali kwa weledi wa hali ya juu.
 
Serikal ya Rais Samia Suluhu imeidhinisha Sh. Bil 56 kwa mkoa wa Morogoro katika mikataba 46 ya miradi ya maji vijijini ili kuhakikisha lengo la asilimia 85, linafikiwa ifikapo mwaka 2025 kuodoa changamoto ya uhaba wa maji.

Meneja wa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) mkoani Morogoro alikaririwa akisema kuwa ndani ya mwaka mmoja mkoa wa Morogoro katika kiwango cha usambazaji wa maji umetoka 62% hadi 72%.

Kurahisha zoezi hilo, utoaji wa fedha hizo uliambatana na utoaji wa pikipiki kwa watumishi ili kuweza kutekeleza agizo la Serikali kwa weledi wa hali ya juu.
Asante nyuma ya keyboard kuleta propaganda...
 
Serikal ya Rais Samia Suluhu imeidhinisha Sh. Bil 56 kwa mkoa wa Morogoro katika mikataba 46 ya miradi ya maji vijijini ili kuhakikisha lengo la asilimia 85, linafikiwa ifikapo mwaka 2025 kuodoa changamoto ya uhaba wa maji.

Meneja wa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) mkoani Morogoro alikaririwa akisema kuwa ndani ya mwaka mmoja mkoa wa Morogoro katika kiwango cha usambazaji wa maji umetoka 62% hadi 72%.

Kurahisha zoezi hilo, utoaji wa fedha hizo uliambatana na utoaji wa pikipiki kwa watumishi ili kuweza kutekeleza agizo la Serikali kwa weledi wa hali ya juu.
Umaskini huu unaweza hata kulamba kinyeshi cha mtu anayekutuma kueneza propaganda .
 
Serikal ya Rais Samia Suluhu imeidhinisha Sh. Bil 56 kwa mkoa wa Morogoro katika mikataba 46 ya miradi ya maji vijijini ili kuhakikisha lengo la asilimia 85, linafikiwa ifikapo mwaka 2025 kuodoa changamoto ya uhaba wa maji.

Meneja wa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) mkoani Morogoro alikaririwa akisema kuwa ndani ya mwaka mmoja mkoa wa Morogoro katika kiwango cha usambazaji wa maji umetoka 62% hadi 72%.

Kurahisha zoezi hilo, utoaji wa fedha hizo uliambatana na utoaji wa pikipiki kwa watumishi ili kuweza kutekeleza agizo la Serikali kwa weledi wa hali ya juu.
Mwanza tu penye Ziwa Victoria hakuna maji ya uhakika sembuse Morogoro? Acha propaganda
 
Acheni huo, labda mseme hivyo mkiwa na maana hadi hio 2030 mtakuwa hampo madarakani wa kuwasuta hayupo, mwaka 1994 mlisema hadi kufika mwaka 2000 tatizo la maji litakuwa ni historia nchini. Leo tu kilometa 3 to ziwani Wana shida ya maji sembuse walio makilometa, ccm huwa inawaona watz wote ni kama watoto wa shule ya chekechea.
 
Serikal ya Rais Samia Suluhu imeidhinisha Sh. Bil 56 kwa mkoa wa Morogoro katika mikataba 46 ya miradi ya maji vijijini ili kuhakikisha lengo la asilimia 85, linafikiwa ifikapo mwaka 2025 kuodoa changamoto ya uhaba wa maji.

Meneja wa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) mkoani Morogoro alikaririwa akisema kuwa ndani ya mwaka mmoja mkoa wa Morogoro katika kiwango cha usambazaji wa maji umetoka 62% hadi 72%.

Kurahisha zoezi hilo, utoaji wa fedha hizo uliambatana na utoaji wa pikipiki kwa watumishi ili kuweza kutekeleza agizo la Serikali kwa weledi wa hali ya juu.
Wewe MÀTAGA siyo Serikali ya CCM tena!
 
Kwenye mikakati ccm wako vizuri. Ila utekelezaji ndio hadi leo mwaka wa 60 ni hovyo.

Fikiria sgr ilikua 2019/2020 iwe tayari ila hadi leo hakijulikani kitu
 
Hakuna mkoa wenye upuuzi juu ya maji kama Morogoro.

Mkoa unachangamoto ya maji kuliko mikoa yenye ukame.

wameshindwa kabisa kutoa maji ya uhakika,

Wameshindwa kabisa usambazaji.

Binafsi natamani wafumuliwe wote, taasisi iundwe upya na kupewa malengo. Sasa wanajiendea tu.
 
Serikal ya Rais Samia Suluhu imeidhinisha Sh. Bil 56 kwa mkoa wa Morogoro katika mikataba 46 ya miradi ya maji vijijini ili kuhakikisha lengo la asilimia 85, linafikiwa ifikapo mwaka 2025 kuodoa changamoto ya uhaba wa maji.

Meneja wa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) mkoani Morogoro alikaririwa akisema kuwa ndani ya mwaka mmoja mkoa wa Morogoro katika kiwango cha usambazaji wa maji umetoka 62% hadi 72%.

Kurahisha zoezi hilo, utoaji wa fedha hizo uliambatana na utoaji wa pikipiki kwa watumishi ili kuweza kutekeleza agizo la Serikali kwa weledi wa hali ya juu.
Hivi adhabu kwa anayetukana hadharani ni miaka mingapi? Nilitamani nitoe "majitaka" kwa andiko lako hili kuhusu Morogoro ila kwa heshima ya jukwaa, umri nilionao na kwa kutokujua adhabu yake acha nijizuie ila lisemwalo ni uongo wa asilimia 102%
 
Hivi adhabu kwa anayetukana hadharani ni miaka mingapi? Nilitamani nitoe "majitaka" kwa andiko lako hili kuhusu Morogoro ila kwa heshima ya jukwaa, umri nilionao na kwa kutokujua adhabu yake acha nijizuie ila lisemwalo ni uongo wa asilimia 102%
Hupingwi na mtu kwa kutoa maoni yako, kama ni uwongo nitashukuru sana kupata hoja sio maneno makavu.
 
Acheni huo, labda mseme hivyo mkiwa na maana hadi hio 2030 mtakuwa hampo madarakani wa kuwasuta hayupo, mwaka 1994 mlisema hadi kufika mwaka 2000 tatizo la maji litakuwa ni historia nchini. Leo tu kilometa 3 to ziwani Wana shida ya maji sembuse walio makilometa, ccm huwa inawaona watz wote ni kama watoto wa shule ya chekechea.
Utakuwepo wewe madarakani?
 
Wilaya ya Morogoro, kilometa chache kutoka bwawa la mindu hakuna maji, ni ka mji ka hovyo kabisa, japo kwa mahala kalipo, ilitakiwa iwe wilaya inayovuta uwekezaji wa Dsm na Dodoma, seminar nyingi na mikutano.

Hifadhi ya Bwawa la Mindu imevamiwa na wananchi kwa kiasi fulani. Bwawa la Mindu ndio roho ya maji Morogoro.

D.C Msando alianza harakati za kuwaondoa wavamizi, sijui kaishia wapi, lakini asiache, waluguru watamkumbuka kwa kuilinda Mindu. Awaondoe wavamizi, eneo la Mindu liwekewe uzio (fence) na uingia kule iwe kwa Kibali.
Si kweli kwamba Morogoro maji yanapatikana kwa asilimia 72, ni chini ya asilimia 40.

Ile milima iwekwe chini ya mamlaka ya hifadhi, na askari wawe standby huko, na ikibidi wajengewe Ofisi/makazi huko kuzuia uharibifu wa milima hiyo,miti na vyanzo vya maji.

Hayo mabomba waliyochimbia ardhini yatakuwa hayana maana kama milima itakauka maji, na Mindu ikakauka
 
Back
Top Bottom