Hadhi ya Nyerere kama kiongozi na haya "Mawe" yaliyokuja baada yake

Tang Zhou

JF-Expert Member
Mar 14, 2018
1,206
2,587
Ukitazama Ziara ya Rais Nyerere aliyofanya UK mwaka 1975, akipokelewa na Queen Elizabeth mwenyewe, unaweza kuona ni kwa kiasi gani tumeserereka kama taifa kuelekea shimoni katika aina ya Marais ambao tumekuja kuwa nao baada ya Nyerere. Hawana mvuto wala hadhi yoyote kimataifa - labda tunaweza kumpa heshima kidogo Rais Kikwete.

Lakini hawa wengine wanaojiita "Mawe", wanaweza kujipima na kuona kama kweli wangekuwa hata na hadhi ya kuwa Wakuu wa Wilaya tukiacha Urais - hadhi ya Ofisi ya Rais wa nchi hii imetetereka mno tangu kuondoka Nyerere, I mean Nyerere aliondoka na calibre ya Urais, aliondoka na Urais akatuachia "Mawe"....Pima hilo kwa hadhi aliyopewa Nyerere na Ufalme wa Uingereza mwaka 1975...hivi kweli hilo laweza kumtokea Jiwe? Atawaeleza nini Wazungu wale, wafalme hata wakamsikiliza?
 
Na huu ndio mkosi walionao na watakaokuendelea kuwa nao na wakuu wengi wa nchi hii!...
Tulianza na mkuu mwenye akili, busara na upeo wa hali ya juu sana!
Kama huyu wa sasa hafiki hata robo ya robo ya robo ya robo ya Mwalimu.

Tutafute utaratibu wa kupima akili zao kabla hawajapewa kiti!
 
Mimi nawashanga sana. Nyerere ndomuasisi wataifa hili na sera na system yake ya utawala ndoimetufikisha hapa....yeye alikua najukumu la kuanda warithi wake tena kibaya zaidi chama cha Nyerere nikilele ambacho kinatawala mpaka leo. Nyerere anawajibika kwa kiongozi yoyote kutoka katika chama chake.
 
Mimi nawashanga sana. Nyerere ndomuasisi wataifa hili na sera na system yake ya utawala ndoimetufikisha hapa....yeye alikua najukumu la kuanda warithi wake tena kibaya zaidi chama cha Nyerere nikilele ambacho kinatawala mpaka leo. Nyerere anawajibika kwa kiongozi yoyote kutoka katika chama chake.
Nyerere aliacha warithi wazuri AHM na BM. Waliofuatia baada ya hapo born town na bush town ndo wameharibu kila kitu.
 
Mimi nawashanga sana. Nyerere ndomuasisi wataifa hili na sera na system yake ya utawala ndoimetufikisha hapa....yeye alikua najukumu la kuanda warithi wake tena kibaya zaidi chama cha Nyerere nikilele ambacho kinatawala mpaka leo. Nyerere anawajibika kwa kiongozi yoyote kutoka katika chama chake.
Mimi naliongelea hili kila siku lakini watu wananibishia..matatizo yote ya nchi yetu leo hii mchonga ndiyo chanzo. Katiba hii mbovu ni yeye mwenyewe mchonga...
 
Ukitazama Ziara ya Rais Nyerere aliyofanya UK mwaka 1975, akipokelewa na Queen Elizabeth mwenyewe, unaweza kuona ni kwa kiasi gani tumeserereka kama taifa kuelekea shimoni katika aina ya Marais ambao tumekuja kuwa nao baada ya Nyerere. Hawana mvuto wala hadhi yoyote kimataifa - labda tunaweza kumpa heshima kidogo Rais Kikwete.

Lakini hawa wengine wanaojiita "Mawe", wanaweza kujipima na kuona kama kweli wangekuwa hata na hadhi ya kuwa Wakuu wa Wilaya tukiacha Urais - hadhi ya Ofisi ya Rais wa nchi hii imetetereka mno tangu kuondoka Nyerere, I mean Nyerere aliondoka na calibre ya Urais, aliondoka na Urais akatuachia "Mawe"....Pima hilo kwa hadhi aliyopewa Nyerere na Ufalme wa Uingereza mwaka 1975...hivi kweli hilo laweza kumtokea Jiwe? Atawaeleza nini Wazungu wale, wafalme hata wakamsikiliza?
Wivu, wivuu, wivuuu, wivuuuu. Na mtakufa na vijiba vya roho. Siai tunawacheeeekaaaaaaaa
 
Wivu, wivuu, wivuuu, wivuuuu. Na mtakufa na vijiba vya roho. Siai tunawacheeeekaaaaaaaa
Mkuu wivu umetoka wapi leta issues acha tabia za kike.....wewe umeona wapi raisi ambayo hana "public relation" na nchi za wenzetu Tz sio kisiwa hata foreign policy yake yaijulikana. Na dira la taifa tushapoteza.....tunaelekea wapi wapi hamna anaejua.
 
Back
Top Bottom