Hadhari kwa wenye wapenzi.

Hadhari kwa wenye wapenzi.

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,967
Kipindi cha sikukuu ndo kipindi pekee cha kujua nafasi yako kwa mwenza wako, ni kipindi kigumu kwa wenye wapenzi wengi, awe na nani ndo jambo gumu, hapo ndo utasikia visingizio, naumwa, kaka mkali n.k, ila style hii ndo salama zaidi.

Mwenza hutafuta chokochoko ili mkosane kwa muda, ili usimtafute wala kumpigia simu, hata ukimpigia asipokee kwa kisingizio eti umemuudhi kumbe yupo kwingine.

Dawa yake ni wewe kuwa mpole kipindi hiki, hata akikukosea wewe muombe msamaha tu, jishushe, wangu alitaka kuldta hii mbinu, nimekuwa mpole balaa, akitaka kuleta chokochoko nakuwa mpole ili asipate kisingizio, tujishushe japo kwa siku 2 ili kukata mzizi wa fitina.
 
Tupoo, kama kuna visinguzio vya home kaka mkali kuna haja gan ya kutafuta kununiwa?? Unaaxhwa hapo n nnayotaka kufanya nafanya vzur tu

naona wanawake ndo zenu.
 
me nilijua kigumu kwenye swala la matumizi yatakuwa juu...................kumbe ni hivi waiii!!!!!!!!!!!!!
 
Mara na mimba yako na sitaki kuitoa me mwenyewe bado mwanafunzi sijui ataki niendelee na masomo
 
au gombana naye tu....utakuwa umeipumzisha wallet ...
 
au gombana naye tu....utakuwa umeipumzisha wallet yako...
 
Back
Top Bottom