Had it not been for the compromised judiciary, hakuna kesi mgelishinda!

Had it not been for the compromised judiciary, hakuna kesi mgelishinda!

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,214
Reaction score
96,340
Polisi hakuna cha taharuki waliyosababisha wa vijana wa Arusha, a.k.a WACHOKONOZI, bali sema hamtaki any posts ambazo zinamkosoa Rais Samia.

Maudhui yao yalikuwa ni kufafanua/kutoa maoni wanavyoona hali ya kisiasa/kijamii ilivyo Tanzania.

To crown it all, they were using soft language na siyo ya matusi, uongo, walikuwa wanatoa maoni yao on the issues they think are worthy of informing the public!

Had it not been for the compromised judiciary, hakuna kesi mgelishinda!
 
Polisi hakuna cha taharuki waliyosababisha wa vijana wa Arusha, a.k.a WACHOKONOZI, bali sema hamtaki any posts ambazo zinamkosoa samia.

Maudhui yao yalikuwa ni kufafanua/kutoa maoni wanavyoona hali ya kisiasa/kijamii ilivyo Tanzania.
To crown it all, they were using soft language na siyo ya matusi, uongo, walikuwa wanatoa maoni yao on the issues they think are worthy of informing the public!

Had it not been for the compromised judiciary, hakuna kesi mgelishinda!
Mahakama za Tanzania zimebakwa na mhimili uliojimbia mizizi mirefu
 
Kwa hali ilivyo nchi hii haitakiwi kusema lolote zaidi ya kumsifia Samia .
Haya mambo hatukuona wakati wa hayati Magufuli .
 
Polisi hakuna cha taharuki waliyosababisha wa vijana wa Arusha, a.k.a WACHOKONOZI, bali sema hamtaki any posts ambazo zinamkosoa samia.

Maudhui yao yalikuwa ni kufafanua/kutoa maoni wanavyoona hali ya kisiasa/kijamii ilivyo Tanzania.
To crown it all, they were using soft language na siyo ya matusi, uongo, walikuwa wanatoa maoni yao on the issues they think are worthy of informing the public!

Had it not been for the compromised judiciary, hakuna kesi mgelishinda!
Tunashirikiana vizuri na majaji.
 
Polisi hakuna cha taharuki waliyosababisha wa vijana wa Arusha, a.k.a WACHOKONOZI, bali sema hamtaki any posts ambazo zinamkosoa samia.

Maudhui yao yalikuwa ni kufafanua/kutoa maoni wanavyoona hali ya kisiasa/kijamii ilivyo Tanzania.
To crown it all, they were using soft language na siyo ya matusi, uongo, walikuwa wanatoa maoni yao on the issues they think are worthy of informing the public!

Had it not been for the compromised judiciary, hakuna kesi mgelishinda!
Inafika wakati ni kama kuna watu wanatamani waongoze maiti ambazo haxifikiri au kujihoji.
 
Samia sijui kwanini kakubari ujinga huu wa kuteka na kuua Afafhali magufuri ukiondoa ya kumimina Risasa kwa Lissu wakati wa ucahguzi hakuna aliyetekwa..kinyume na mama tangia mwaka Jana kateka na kuua vijana wengi
 
Back
Top Bottom