Hacked

Hacked

deogan

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2011
Posts
399
Reaction score
46
Mtu yeyote ana idea ya hacker(s) kwa jina la Mister Spy && Souheyel?
nimejikuta nimefuta website nzima (wordpress based) baada ya kugundua iko hacked na hacker huyo.

Search ya google inaleta tu results ambazo ni infected websites.
 
hujafanya backup? zipo autobackup kibao nyengine unatumiwa hadi kwenye email. ushauri tu hakikisha una plugin ya autobackup.
 
hujafanya backup? zipo autobackup kibao nyengine unatumiwa hadi kwenye email. ushauri tu hakikisha una plugin ya autobackup.
Nilizifuta, zilikuwa zinajaza disk space. ila hilo sio tatizo website haikuwa on use bado hivyo i can remake it. issue yangu tu ni huyo hacker(s). Any news of him/her/them au exploits zake and how to stay protected maana naona website nyingi sana from google search result zipo infected.
 
Nilizifuta, zilikuwa zinajaza disk space. ila hilo sio tatizo website haikuwa on use bado hivyo i can remake it. issue yangu tu ni huyo hacker(s). Any news of him/her/them au exploits zake and how to stay protected maana naona website nyingi sana from google search result zipo infected.
mi nimemcheki nimeishia twitter, ni hacker wa tunisia ila ameshakamatwa, am not sure ni vipi tena.

wao walikuwa wakitweet website zilizokuwa hacked na hao jamaa

google fallaga team
 
ni
mi nimemcheki nimeishia twitter, ni hacker wa tunisia ila ameshakamatwa, am not sure ni vipi tena.

wao walikuwa wakitweet website zilizokuwa hacked na hao jamaa

google fallaga team
niliiona hio pia, asante.
 
Nilizifuta, zilikuwa zinajaza disk space. ila hilo sio tatizo website haikuwa on use bado hivyo i can remake it. issue yangu tu ni huyo hacker(s). Any news of him/her/them au exploits zake and how to stay protected maana naona website nyingi sana from google search result zipo infected.
Site zote zinazotengenezwa Kwa open source na kutumia themes na plugin za free zipo kwenye risk kubwa ya kubehacked na mahackers, kama upo serious njo tu kutengenezewa website ambayo ni responsive na haita kuwa na matatizo ya hao mahackers.
 
Site zote zinazotengenezwa Kwa open source na kutumia themes na plugin za free zipo kwenye risk kubwa ya kubehacked na mahackers, kama upo serious njo tu kutengenezewa website ambayo ni responsive na haita kuwa na matatizo ya hao mahackers.
kapost hio site yako uliotengeneza kwenye page yao ya twitter halafu waambie hawawezi kuihack,

watu wanahack site za israel na marekani ambao wapo juu kwenye security, sembuse bongo ambapo watu hata server hawana tuna resale tu server za marekani na sie kujifanya tuna zetu.
 
kapost hio site yako uliotengeneza kwenye page yao ya twitter halafu waambie hawawezi kuihack,

watu wanahack site za israel na marekani ambao wapo juu kwenye security, sembuse bongo ambapo watu hata server hawana tuna resale tu server za marekani na sie kujifanya tuna zetu.
Kinachofanyika ni Vulnerability + Search engine, ndio maana unakuta hata site zakijinga bongo nazo wanazipitia.wakicheki tu wanajua list ya site ambazo zipo kwenye risk then wana invade, ila hawezi hacker wa fallaga au makundi mengine aitarget site ya bongo direct tu, ni ngumu.
deogan secure site yako, cheki wenzio waliopatwa na ilo tatizo walifanyaje, maana bug fix unakuta zilikupita, kuendelea kuwatafuta hao jamaa ni time wastage. uwatafute what is hacking then ?
 
Kinachofanyika ni Vulnerability + Search engine, ndio maana unakuta hata site zakijinga bongo nazo wanazipitia.wakicheki tu wanajua list ya site ambazo zipo kwenye risk then wana invade, ila hawezi hacker wa fallaga au makundi mengine aitarget site ya bongo direct tu, ni ngumu.
deogan secure site yako, cheki wenzio waliopatwa na ilo tatizo walifanyaje, maana bug fix unakuta zilikupita, kuendelea kuwatafuta hao jamaa ni time wastage. uwatafute what is hacking then ?
sijamuuliza kaka deogan theme ya site yake ni nini, sometime kwenye siasa za ulimwengu huu unaweza eka post fulani ya kumchukiza mtu ndio ikawa ni chanzo.

unapoongelea haya makundi makubwa sio upande wako tu unaohusika, hata host wako anaweza changia sababu hawa jamaa wanaweza hack server nzima.
 
samahani kwa kuingilia post yako mkuu ila naomba msaada ktk hili

natumia galaxy note 1 ambayo ni ya kikorea shv-e160 k
4.1.3 version
nilikua na shida kuipeleka lollipop ila njia nnayoijua mimi ni kupitia odin
leo nimedownload firmware 800mb ila kabla sjaanza kazi nimechunguza kwa makini inabidi nitumie njia ya
TRU CWM AMBAYO KWANGU NI NGENI SIIJUI KABSA

NAOMBENI MSAADA WATAALAM WA HAYA MAMBO JAMANIII
 
TWRP au CWM ni custom recovery ambazo unaziflash baada ya kuroot simu, kwa simu yako tafuta root method za chainfire huwa zinakuwa zinainstall CWM moja kwa moja. Na uanze kwa kufanya backup ya efs partition
 
samahani kwa kuingilia post yako mkuu ila naomba msaada ktk hili

natumia galaxy note 1 ambayo ni ya kikorea shv-e160 k
4.1.3 version
nilikua na shida kuipeleka lollipop ila njia nnayoijua mimi ni kupitia odin
leo nimedownload firmware 800mb ila kabla sjaanza kazi nimechunguza kwa makini inabidi nitumie njia ya
TRU CWM AMBAYO KWANGU NI NGENI SIIJUI KABSA

NAOMBENI MSAADA WATAALAM WA HAYA MAMBO JAMANIII

TWRP au CWM ni custom recovery ambazo unaziflash baada ya kuroot simu, kwa simu yako tafuta root method za chainfire huwa zinakuwa zinainstall CWM moja kwa moja. Na uanze kwa kufanya backup ya efs partition
 
dah unajua jf patamu San najifunza a lots of issue jaman

mm nataman San kujua vizur kuHuck system za watu na Nina soma od ya ICT so nipige course gan inayo husiana na Ku Huck na kujua kutengeneza system kwa njia ya programming or coding
 
TWRP au CWM ni custom recovery ambazo unaziflash baada ya kuroot simu, kwa simu yako tafuta root method za chainfire huwa zinakuwa zinainstall CWM moja kwa moja. Na uanze kwa kufanya backup ya efs partition
nimeroot kupitia kingroot ila sjaona mabadiliko yoyote bro
nipo hoi tu hapa
kila nikitafta hyo kitu CWM SIIPATI
 
Back
Top Bottom