Habibu Mchange njiapanda


Halima mdee amesema hawa ni Sisimizi na hawana madhara ndani ya Mchwa.
 

Mbona ni kama mnataka kumsemea si muache aamue mwenyewe.
 
 

Vijana wenye uzalendo wote walioko CDM lazima wataondoka na kutafuta mahali penye uhuru wa kuelezea hisia na malengo yao kwa taifa.
 
Mkuu sijawasumbua!.. Kama huamini haya niyasemayo basi tafuta namba ya simu ya mchange au mtembelee TABATA, utagundua yupo ktk wakati mgumu sana kisiasa. Pamoja na kuongoza UASI, lakini hakujua madhara yake yatakuwa ni kufukuzwa!...

Mbona malezezo yako yanonesha waziwazi unapiga propaganga tu, kama kweli una namba zao za simu si uweke hapa tujiridhe wenyewe, majungu ya nini mbona Mnyika anaweka za wabunge wenzake na mawaziri ili wananchi wawatukane.
 
Kwa nini toka mwanzo hakufanya hivi,Akili zako changanya na za kuwambiwa..........
 
Huyu Mchange ni ujinga tu unamsumbua. Atubu na kuomba radhi arudi Chadema. Vinginevyo, amepotea jumla.
Laiti wangejua kwamba akina Mwigulu na Nape wako pale kwa sababu ya kuishughulikia vizuri Chadema kupitia vijana hao wa masalia.
 
Nadhani bado Mchange ana nafasi ndani ya CHADEMA
 
Mleta uzi ni mnafiki tu,kwanini asiingie na jina lake la kweli?
 
Mchange mwenyewe si yupo humu , aje adhibitishe au ayakane haya.
 
Last edited by a moderator:
Mbona malezezo yako yanonesha waziwazi unapiga propaganga tu, kama kweli una namba zao za simu si uweke hapa tujiridhe wenyewe, majungu ya nini mbona Mnyika anaweka za wabunge wenzake na mawaziri ili wananchi wawatukane.

Naheshimu sheria za JF: Namba ninazo siwezi kutoa, wewe tafuta.

  1. If you participate in any forum on the site, you warrant that you will not:
    • Defame, abuse, harass or threaten others
    • Make any bigoted, hateful, or racially offensive statements
    • Advocate illegal activity or discuss illegal activities with the intent to commit them
    • Post or distribute any material that infringes and/or violates any right of a third party or any law
    • Post or distribute any unethical, pornographic, vulgar, obscene, discourteous, or indecent language or images
  2. You are responsible for ensuring that any material you post on JAMIIFORUMS (text, images, or other multimedia content) does not violate or infringe upon the copyright, patent, trademark or any other personal or proprietary rights of any third party, and is posted with the permission of the owner of such rights.
 
Vijana wenye uzalendo wote walioko CDM lazima wataondoka na kutafuta mahali penye uhuru wa kuelezea hisia na malengo yao kwa taifa.

Sehemu ipi ya kusemea ambayo inanuka rushwa, ufisadi??? Ni sawa na kukataa kula chakula kwenye choo cha kuflash kisha ukakubali kula kwenye choo cha shimo!!!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…