Joh mcCain
Member
- Dec 12, 2014
- 6
- 0
Habarini za asubuhi wana JF
mimi nimechaguliwa Automobile engineering pale NIT Dar lakini kwa kuwa sina ufahamu mzuri kuhusu hiyo kozi nataka kubadilisha nikasome mechanical naomba ushauri wenu ni kozi ipi ambayo ni nzuri yaani future yake iko poa
pia kuhusu mkopo ukibadilisha kozi je inashida kwenye kupewa mkopo
mimi nimechaguliwa Automobile engineering pale NIT Dar lakini kwa kuwa sina ufahamu mzuri kuhusu hiyo kozi nataka kubadilisha nikasome mechanical naomba ushauri wenu ni kozi ipi ambayo ni nzuri yaani future yake iko poa
pia kuhusu mkopo ukibadilisha kozi je inashida kwenye kupewa mkopo