Jipange tu kiakili maswali hayafananiHabarini wanna jamiiforum,samahanini kwawale waliowahi kufanya usahili wa udereva utumishi watuambie aina yamaswali ya oral wanayouliza.Asanteni
Aisee,Jipange tu kiakili maswali hayafanani
Siku moja kulikuwa na interview Nhif wakatoa maswali ambayo yako nje ya udereva kabisa
Mf swali ninalokumbuka,
Mkurugenzi wa takukuru anaitwa nani?
Hili swali sitalisahahu maana nilishangaa sana