Tora Bora Member Aug 18, 2012 10 0 Aug 18, 2012 #1 Leo na mie nimeamua kujiunga na mtandao wa JF kwa ajili ya ukombozi wa taifa letu nipokeeni.
Asprin JF-Expert Member Mar 8, 2008 68,012 95,358 Aug 19, 2012 #6 BAGAH said: upewe njia? aya pita... Click to expand... Dogo, hebu ulizia jinsia kwanza. Unaniangusha bana. Afu leo gesti nyingi zimejaa sijui kwanini?
BAGAH said: upewe njia? aya pita... Click to expand... Dogo, hebu ulizia jinsia kwanza. Unaniangusha bana. Afu leo gesti nyingi zimejaa sijui kwanini?
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Aug 19, 2012 #7 Asprin said: Dogo, hebu ulizia jinsia kwanza. Unaniangusha bana. Afu leo gesti nyingi zimejaa sijui kwanini? Click to expand... Babu umekosa gesti? Halafu wajukuu wote wa kike mbona hawaonekani? Leo wametekwa....
Asprin said: Dogo, hebu ulizia jinsia kwanza. Unaniangusha bana. Afu leo gesti nyingi zimejaa sijui kwanini? Click to expand... Babu umekosa gesti? Halafu wajukuu wote wa kike mbona hawaonekani? Leo wametekwa....