fb hizo.Naitwa msekule, ninaitaji kwenda africa ya kusini kutafta maisha, lakini kule sina ndugu wala rafiki.
Kwa yeyote humu kama yupo uko anisaidie kunistili kwa muda hadi pale nitakapo pata kibarua. View attachment 1100351
Hakuna atakaekuja kukuambia njoo kwangu. Akikuambia hivyo kiwepesi ujue ana maslahi na wewe. Kitu MUHIMU wewe kama uko tayari kwa hiyo safari wewe zama tu,mengine yatajulikana mbeleSwet r, kuwa muwazi na mkweli ni kitu mhimu ususan unapokwenda mahali kwa mala ya kwanza.