nimejiandikisha tirav, nitafanya masomo 10. Namaanisha saba ya kawaida na matatu ya science.
Naombeni mnisaidie kiasi cha pesa ili niweze kufanyia practical ktk masomo. Kwa atakayejaaliwa naombeni sana kwani itanisaidia kumaliza mapema na kujiandaa vizur ktk mitihan yangu ma pia itanirahisishia kufikia malengo.
ulipata hela ya mtihani eeh?
Emmy lady said:Mtihani nililipiwa na usajili umeshakamilika tayari. Kilichobaki ni juhudi zangu mimi mwenyewe ktk kujisomea.
kiasi cha shilingi elfu 20.
Ahhah...m mwenyew sielew..kama alikua anasoma food science sua sasa mambo ya chemistry cjui yametoka wap....
bujibuji vs gilesi style!peoples are fake jaman!ebu tupishe huko
bujibuji vs gilesi style!peoples are fake jaman!ebu tupishe huko
issue ya GiLesi vs Buji ...nadhani ndio thread bora ya mwezi...lolz
Agreeed lol
nimejiandikisha tirav, nitafanya masomo 10. Namaanisha saba ya kawaida na matatu ya science.
Hapa naona kuna mambo ya chuma ulete kama sio kanyaboya au changa la macho...
Stori imeanzia hapa...
Mdau mmoja akauliza hivi...
Ghafla bin vuuu mhusika akajibu kwa ID yake nyingine...
Baada ya kujishtukia akaifuta fasta fasta kumbe kuna watu wapo fasta zaidi...
Teh teh teh.. Invisible au Moderator please hebu fanyeni mambo yenu yale hapa kabla watu hawajalizwa..
darling huyo mtu anaId mbili aiseeeSawa but wewe ni me au ke?
Inaonekana una ID mbili, mimi nahisi unafanya kautapeli tu. Mtu anashindwa akuamini usemacho.
alisahau kulog out Twin.....yani hii jf jamani huyu mtoto atuachie visent vyetu...kha!