Habari za jioni...

Habari za jioni...

micka jac

Member
Joined
Apr 4, 2014
Posts
49
Reaction score
20
Shikamooni wakubwa zangu. Vipi hali zenu? Namshukuru mungu kwa kunijaalia uzima na mengineyo ya kheri. Mmenifadhili vyema ila nina ombi lingine ndugu zangu. Naombeni mnisaidie kiasi cha pesa ili niweze kufanyia practical ktk masomo. Kwa atakayejaaliwa naombeni sana kwani itanisaidia kumaliza mapema na kujiandaa vizur ktk mitihan yangu ma pia itanirahisishia kufikia malengo. Kwa yeyote atakayejaaliwa nitashukuru, namba za sim 0654 929 003. Ahsanten
 
Hahaha...dogo una mambo ww.....kutokea vijistori vyako vile mpaka kuomba msaada!....nadhan kuna haja ya uongoz wa jf kuanzisha kipengele cha kusaidiana uku il mambo km aya yasivuruge starehe za watu uku...
 
By the way unalipia practical ya aina gan coz as far as i remember kuna field allowance kwa iyo kaz....
 
Watu wanaolazimisha shida wanafanya hata wale wenye shida kiukweli kuonekana ndio wale wale
 
Shikamooni wakubwa zangu. Vipi hali zenu? Namshukuru mungu kwa kunijaalia uzima na mengineyo ya kheri. Mmenifadhili vyema ila nina ombi lingine ndugu zangu. Naombeni mnisaidie kiasi cha pesa ili niweze kufanyia practical ktk masomo. Kwa atakayejaaliwa naombeni sana kwani itanisaidia kumaliza mapema na kujiandaa vizur ktk mitihan yangu ma pia itanirahisishia kufikia malengo. Kwa yeyote atakayejaaliwa nitashukuru, namba za sim 0654 929 003. Ahsanten

Unahitaji shilingi ngapi?
 
umejiandikisha wapi na masomo gani utafanyia mitihani?na unahitaji shs ngapi?
 
...nadhani kuna Kitu nakimmiss hapa..
..practical?...ya nini? Na wapi?
 
mmh.. hapa kuna jambo kama sikosei,si ulikuwa chuo wewe leo una biology,chemistry na physics ?!inakuwaje tena....

eh haya wapi mamaa huruma amuwezeshe dogo akacheze na test tubes na chemicals laboratory!.
 
mmh.. hapa kuna jambo kama sikosei,si ulikuwa chuo wewe leo una biology,chemistry na physics ?!inakuwaje tena....

eh haya wapi mamaa huruma amuwezeshe dogo akacheze na test tubes lab.

Ahhah...m mwenyew sielew..kama alikua anasoma food science sua sasa mambo ya chemistry cjui yametoka wap....
 
Back
Top Bottom