Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 8,386
- 10,458
Habari za hivi punde
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa basi lenye usajili namba T 124 DAK likiwa na abiria 61 mali ya kampuni ya hood linalofanya safari zake arusha to mbeya leo majira ya saa 5:14 Asubuhi limeacha njia nakuingia hotelini.Ambapo abiria wote 61 walipata chai na baada ya hapo waliendelea na safari.
Mungu bariki safari yao
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa basi lenye usajili namba T 124 DAK likiwa na abiria 61 mali ya kampuni ya hood linalofanya safari zake arusha to mbeya leo majira ya saa 5:14 Asubuhi limeacha njia nakuingia hotelini.Ambapo abiria wote 61 walipata chai na baada ya hapo waliendelea na safari.
Mungu bariki safari yao