Habari za corona katika picha

Nyie endeleni kushupaza shingo na kuja na vibonzo vya picha kila kukicha hakika shingo zenu zitakatika vipandevipande.

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Kuna vitu vinafikirisha sana, waziri anafuata inayoitwa dawa nchi nyingine kwa ndege ya rais, anakunywa hiyo dawa wakati anakabidhiwa.

Baada ya kurudi nchini na kuulizwa utaratibu wa kuigawa hiyo dawa, anasema lazima isubiri kufanyiwa utafiti kwanza kujiridhisha. Huyu waziri ana upendo kiasi gani kuweka rehani kubwa kiasi hicho ikiwa bado wana tashwishwi na hiyo dawa?
 
Kabudi kaamua kubugia chupa lote na wakati huohuo anatwambia walipewa chumba mbili tu (control) na wanataka wapime kwanza ile "sample" kuona kama inafaa.
 
KUNA WATU KWA SABABU ZA KISIASA WANATAMANI MAAFA YAZIDI KUENDELEA ILI NYAKATI ZIENDANE NA MAONO YAO!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…