Habari ya wanandoa kutumiwa picha za ngono ni uongo

 
Kama Ni kweli E-FM wakamatwe kwa kucheza na hisia za watu, walivotuweka busy jamani. ....lol
Ishu ni kwamba bwana Kaizary aliyehojiwa Clouds amelalamika picha za harus yake kutumika kuhusisha na zile picha Chafu kwani mke wake ni tofauti na yule wa kuliwa tigo na mume aliyehojiwa Efm ni tofauti na sauti yake yy Kaizar ivyo wamepeleka kesi polisi na kushirikiana na rafik yao aliyepo Sweden wameshamjua aliyetuma zile picha za Harusi anaitwa somebody FAKI, jina la pil kamuulizeni Kibonde ndo alikua anamhoji...
 
Ha ha ha... Bwana harus na bi harusi wamehojiwa e-fm clean clear bila chenga na mzigo wadau wameuona clean clear HD sasa hayo ya clouds fm ni chenga tuuu..
 
zile picha za watu wanasema hazifanani ila najua zinafanana sababu zile zilizowekewa alama zisionyeshe utupu na ziliongezewa giza ili kuficha sura ya mtu ila najua ni kweli.
wanajitahidi kupumbaza watanzania ila sisi wenye maono ya kweli tyuliosikiliza ile audio na picha zenyewe tunajua mtu ni yule yule. shirikisha ubongo mdau
 
Ha ha ha... Bwana harus na bi harusi wamehojiwa e-fm clean clear bile chenga na mzigo wadau wameuona clean clear HD sasa hayo ya clouds fm ni chenga tuuu..
naona hawa clouds wanataka kutuona watoto wadogo. ishu ni yakweli hata ukifatilia ile audio na wakati anahojiwa e fm utajua ni ukweli nhalisi hiawezi kuwa movie ni ukweli mtupu. hata wazazi wa yule mwanamke wanafanana kabisa na mtoto wao.
pia kama huamini watu wa karibu na hao ndugu watashusha ukweli ambao mimi nauamini dunia haina siri
 
nina mashaka na kanusho lako
 
Nasikiliza clouds fm now bwana harusi kwa jina Kaizary asema kuhusu hizo picha ni uongo na ni photoshop na yule mwanamke wa kwenye zile picha si mke wake bi Susan.
Kesi iko police na wahusika kuanza kusakwa.
Wamekutuma uje kutuambia au wewe ni mdau mmojawapo???
Dunia ya sasa ni kitongoji most of Tanzanians we're very familiar with IT Art..more than Adobe,Amara....ect.
 

Niliwaambia watu ni fix, tena mara kadhaa, hawakutaka kunielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…