Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Clouds siku wanahaha na EFM. Hatushangai hayo kutokea sasaE FM vs Clouds FM,bado naamini ile interview ya E FM kwa kadiri nilivyoona inafaaa.
EFM wanawanyima usingizi kabisaClouds siku wanahaha na EFM. Hatushangai hayo kutokea sasa
Wewe umechanganya huyu wa Clouds na yule mwingine, wa Clouds mtuhumiwa ni Mwanamke ila yule mwingine mtuhumiwa mkuu ni Mwanamke na iliripotiwa toka E FM na katika tukio lile ilionesha mwanamke anafanyiwa vitendo kinyume na maumbile
Kwa hiyo jaribu kuangalia tofauti hapo
Ishu ni kwamba bwana Kaizary aliyehojiwa Clouds amelalamika picha za harus yake kutumika kuhusisha na zile picha Chafu kwani mke wake ni tofauti na yule wa kuliwa tigo na mume aliyehojiwa Efm ni tofauti na sauti yake yy Kaizar ivyo wamepeleka kesi polisi na kushirikiana na rafik yao aliyepo Sweden wameshamjua aliyetuma zile picha za Harusi anaitwa somebody FAKI, jina la pil kamuulizeni Kibonde ndo alikua anamhoji...Kama Ni kweli E-FM wakamatwe kwa kucheza na hisia za watu, walivotuweka busy jamani. ....lol
Kwani nchi gani hazina mambo haya?Nchi hii kwa kushabikia mambo ya kipuuzi hatujambo, ukitazama jana media zote zimejikita kwenye habari hiyo,kweli Elimu elimu elimu
zile picha za watu wanasema hazifanani ila najua zinafanana sababu zile zilizowekewa alama zisionyeshe utupu na ziliongezewa giza ili kuficha sura ya mtu ila najua ni kweli.Ishu ni kwamba bwana Kaizary aliyehojiwa Clouds amelalamika picha za harus yake kutumika kuhusisha na zile picha Chafu kwani mke wake ni tofauti na yule wa kuliwa tigo na mume aliyehojiwa Efm ni tofauti na sauti yake yy Kaizar ivyo wamepeleka kesi polisi na kushirikiana na rafik yao aliyepo Sweden wameshamjua aliyetuma zile picha za Harusi anaitwa somebody FAKI, jina la pil kamuulizeni Kibonde ndo alikua anamhoji...
naona hawa clouds wanataka kutuona watoto wadogo. ishu ni yakweli hata ukifatilia ile audio na wakati anahojiwa e fm utajua ni ukweli nhalisi hiawezi kuwa movie ni ukweli mtupu. hata wazazi wa yule mwanamke wanafanana kabisa na mtoto wao.Ha ha ha... Bwana harus na bi harusi wamehojiwa e-fm clean clear bile chenga na mzigo wadau wameuona clean clear HD sasa hayo ya clouds fm ni chenga tuuu..
nina mashaka na kanusho lakoMimi bado haijaniingia akilini kwa nini [kama ni kweli] hao wahusika waliongea na kituo cha redio.
Walifanya hivyo kwa minajili gani?
Nani mwenye akili timamu anaweza kuongelea suala la fedheha namna hiyo kwenye chombo cha habari?
Akili yangu imegoma kabisa hapo.
Halafu sasa...hizo picha mbona kama zipo mtandaoni tokea zamani.
Nakumbuka kama nilishawahi kuziona pahala [Kanusho: mimi siyo kwamba ni mdau wa hayo mapicha na masinema ya ngono. Kwenye hizi zama za utandawazi kukutana na hayo makitu ni jambo la kawaida].
hata marekani wanashabikia na wako fasta sana kwenye haya mamboKwani nchi gani hazina mambo haya?
Wamekutuma uje kutuambia au wewe ni mdau mmojawapo???Nasikiliza clouds fm now bwana harusi kwa jina Kaizary asema kuhusu hizo picha ni uongo na ni photoshop na yule mwanamke wa kwenye zile picha si mke wake bi Susan.
Kesi iko police na wahusika kuanza kusakwa.
watanzania hawapendi kushirikisha akili. wao wanataka waone kabisa na macho yao wakifanyananina mashaka na kanusho lako
Mimi bado haijaniingia akilini kwa nini [kama ni kweli] hao wahusika waliongea na kituo cha redio.
Walifanya hivyo kwa minajili gani?
Nani mwenye akili timamu anaweza kuongelea suala la fedheha namna hiyo kwenye chombo cha habari?
Akili yangu imegoma kabisa hapo.
Halafu sasa...hizo picha mbona kama zipo mtandaoni tokea zamani.
Nakumbuka kama nilishawahi kuziona pahala [Kanusho: mimi siyo kwamba ni mdau wa hayo mapicha na masinema ya ngono. Kwenye hizi zama za utandawazi kukutana na hayo makitu ni jambo la kawaida].
sureWamekutuma uje kutuambia au wewe ni mdau mmojawapo???
Dunia ya sasa ni kitongoji most of Tanzanians we're very familiar with IT Art..more than Adobe,Amara....ect.
duuh kama mdada kajiua huyo mtu aliye watumia hizo picha kama zawadi nafsi yake kwa sasa sidhani kama imetulia.Na kwa habari zaidi zinasema huyo mwanamke kanywa vidonge vya amoxilin muda si mrefu kafariki dunia ...kwa aibu iliyomkumba...
Mkuu hebu jaribu kupitia tena ulichokiandika! Hueleweki kabisa yani...
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukuelewa