wasiliana na smati na miss judith waliojiunga jana tumewapa maelekezo, au kama vp nenda kwa dereva wa kivuko cha mv magogon ana nakala ya form_zijaze kwa ukamilifu hlf uniletee pale ofcn kwangu opposite na wizara ya elimu magogon
wasiliana na smati na miss judith waliojiunga jana tumewapa maelekezo, au kama vp nenda kwa dereva wa kivuko cha mv magogon ana nakala ya form_zijaze kwa ukamilifu hlf uniletee pale ofcn kwangu opposite na wizara ya elimu magogon
Mkubwa unatumia dozi? nashauri uimalizie...., endapo kuna maelekezo yoyote kwa wageni wa jamvi naamini yangewekwa katika ukurasa wao na si kuwatumia smati na judith!