habari wana cc

Karibu !
Umeoa/umeolewa?
Una watoto wangapi ?
Ulishawahi kufungwa ?
Kama jibu ndy , kwa kosa gani ?
Kama jibu siyo , kwanini hujawahi?
Majibu sahihi yanatakiwa kabla ya saa 6 mchana .
Bila hivyo ukijikuta majukwaa yote huyaoni usinilaumu .
 
karibu mkuu we ke/me ? Km Ke inabidi ukaguliwe sawa
 
mbona wamtisha mwenzio?
Karibu !
Umeoa/umeolewa?
Una watoto wangapi ?
Ulishawahi kufungwa ?
Kama jibu ndy , kwa kosa gani ?
Kama jibu siyo , kwanini hujawahi?
Majibu sahihi yanatakiwa kabla ya saa 6 mchana .
Bila hivyo ukijikuta majukwaa yote huyaoni usinilaumu .
 
Karibu !
Umeoa/umeolewa?
Una watoto wangapi ?
Ulishawahi kufungwa ?
Kama jibu ndy , kwa kosa gani ?
Kama jibu siyo , kwanini hujawahi?
Majibu sahihi yanatakiwa kabla ya saa 6 mchana .
Bila hivyo ukijikuta majukwaa yote huyaoni usinilaumu .

Duh kazi ipo...
Acha tu mie niendelee kuingilia mlango wa uani....
 
Back
Top Bottom