thegeniustzda
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 211
- 358
Habari wakuu nimedegeda mchepuko yani nimepewa kila staili yani hapa nimekaa sitaki kurudi kwa shemeji yenu sielewi shida nini hapa kaniambia hapa anachemsha maji ya kuoga aje aniogeshee chumbani nishaurini njia gani ya jinsi ya kumdanganya shemeji yenu nisirudi nyumbani ase huu mchepuko ni moto wa kuotea mbali anaweza kufanya ukatelekeza familia