Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wanasemaga bure mwanzoni , ili wakuteke vizuri ufahamu wako , wakishakuteka utaambiwa vyote vijazavyo nchi ni mali ya bwana ,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wanasemaga bure mwanzoni , ili wakuteke vizuri ufahamu wako , wakishakuteka utaambiwa vyote vijazavyo nchi ni mali ya bwana ,
Mimi ni msabato lakini ndugu zanguni hakuna kitu kama hiki. Huyu anachafua kanisa la Mungu. Nabii hajitangazi. Mungu anisamehe kwani mimi naona huu ni utapeli. Kanisa la wasabato halina kwa sasa Nabii aliyetambuliwa na kanisa.wasabato nanyi mmeanza kukengeuka na kujiita manabii!? hakika hizi ni nyakati za mwisho.
Ndugu yangu usiaibishe kanisa la Mungu. Tuambie unasali kanisa gani?Pole sana ndugu kwa yaliyokukuta, jambo hili ni la uhakika si jambo la kubahatisha au kujitungia ndugu.